Sentensi nne za Nape Nnauye zina majibu ya ishu ya Sheria ya mavazi iliyosambaa mitandaoni.. (+Audio)
Kulikuwa na taarifa ambayo imesambaa mitandaoni kuhusu ishu ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Moses Nnauye kutangaza kuhusu kupigwa marufuku baadhi ya aina ya mavazi kwa wanawake na wanaume… taarifa hiyo ikaenda mbali na kutaja faini ya 100,000/= kwa atakayekiuka. Taarifa kutoka kwenye habari ya Clouds TV imempata Waziri Nape Nnauye >>> […]
The post Sentensi nne za Nape Nnauye zina majibu ya ishu ya Sheria ya mavazi iliyosambaa mitandaoni.. (+Audio) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Dec
Waziri Nape Nnauye afafanua jinsi wasanii chipukizi watakavyonufaika na sheria ya Radio na TV kuwalipa wasanii
Kumeibuka maswali mengi toka ilipotangazwa sheria ya wanamuziki wa Tanzania kulipwa na vituo vya Radio na TV kwa kutumia kazi zao, moja wapo ni kuhusu kama sheria hii itakuwa na manufaa kwa wasanii wachanga au itachangia kuwapa wakati mgumu zaidi wa kupata nafasi ya kazi zao kuchezwa.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye amefafanua jinsi wasanii chipuziki watakavyonufaika na utaratibu huo unaotarajiwa kuanza kutumika mwezi January,2016.
“Wapo watu wanasema kwamba...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao
11 years ago
MichuziMajibu ya Mh.Jerry Silaa kuhusiana na taarifa zinazosambazwa mitandaoni
Ingawa si tabia yangu kukanusha mambo yaliyotengenezwa kwa sababu anazojua muandaaji lakini kwa idadi ya simu nilizopokea kwa faida ya wengi ni bora niseme yafuatayo.
1.Kwa wanaofahamu matumizi ya whatsapp, screen shot hii ilipaswa kutoka kwenye simu yangu, kwa maana nyingine ni mimi mwenyewe ndiye chanzo cha...
10 years ago
VijimamboMahojiano na Nape Nnauye Pt II
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu
9 years ago
MichuziTFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Nape Nnauye anusurika kifo ajalini
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Warioba: Umma utamhukumu Nape Nnauye
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
SHABANI MATUTU NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM
KAULI iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwamba wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wanatumia mchakato wa Katiba kama mradi binafsi wa kujinufaisha, ni wazi imeonekana kumkera Jaji Joseph Warioba, ambaye sasa ametamka bayana kuwa mwanasiasa huyo anasubiri kuhukumiwa na nguvu ya umma.
Jana vyombo vya habari vilimkariri Nape...