Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nasubiri Dk Magufuli ageukie sekta ya elimu

Mipango mingi imepangwa, ukiwamo ule wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), lengo likiwa ni kuhakikisha nchi inapata mafanikio katika sekta mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Watakaokwamisha juhudi za Rais Dkt. Magufuli katika sekta ya elimu kukiona - Masaju

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Mcheche Masaju akiongea na wazazi, wanafunzi na Viongozi wa Shule za wanawake na wanaume za Feza katika mahafali ya shule hiyo yaliyofanyika jana Jijini Dar es Salaam na kusisitiza katika umuhimu wa kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano katika kuendeleza sekta ya elimu nchini.Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Mcheche Masaju akitoa veti kwa baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri katika maaeneo ya Uongozi, Usafi na katika Elimu katika...

 

5 years ago

Michuzi

UWT DODOMA MJINI YAMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWENYE SEKTA YA AFYA NA ELIMU

 Charles James, Michuzi TVKATIKA kuunga mkono juhudi za Rais Dk John Magufuli za kuwahudumia watanzania, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Dodoma Mjini umekabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh Milioni Mbili kwenye sekta ya Afya na Elimu wilayani humo.
Vifaa vilivyotolewa na UWT Wilaya ya Dodoma Mjini ni Mashuka 50 ya kujifunikia katika Kituo cha Afya Mkonze ambacho kilikua kinatumika kuhudumia wagonjwa wenye maambukizi ya ugonjwa wa Corona na vifaa vya kufanyia mitihani...

 

9 years ago

StarTV

Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika  sekta hiyo pamoja na  kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.

Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.

 Katika uzinduzi wa jopo la washauri...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Sekta ya Elimu taabani’

12NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

UBORA wa elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne umetajwa kushuka kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu kutokana na kukosekana kwa falsafa ya kuendeleza elimu licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.

Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya Elimu ya Miaka 10 ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne, Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu, John Kalage, alisema katika kipindi cha uongozi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko sekta ya elimu

SERIKALI imesema kuwa wanafunzi 16,800 wakiwemo watahiniwa wa kujitegemea 10, wenye sifa lakini wamekosa nafasi za kujiunga kidato cha tano, sasa wataanzishiwa utaratibu wa kusoma stashahada ya ualimu pamoja na...

 

10 years ago

Habarileo

‘Msiitumie sekta ya elimu kibiashara’

WATU waliowekeza kwenye sekta ya elimu wilayani Kinondoni wametakiwa kutoitumia sekta hiyo kama biashara badala yake watoe huduma ili isiwe mzigo kwa wazazi na walezi wanaosomesha watoto.

 

10 years ago

Mwananchi

Sekta ya elimu ijengwe upya

MATOKEO ya kidato cha nne yameshtua wengi Tanzania.  Pamoja na laumu hizo kwenda huku na kule,  lakini sidhani kama kuna sababu ya kushtuka, kwa sababu tatizo hili sio la leo

 

10 years ago

Tanzania Daima

Airtel yaendelea kusaidia sekta ya elimu

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel, imesaidia jitihada za serikali za kuhamasisha masomo ya sayansi kwa kutoa msaada wa vitabu vya sayansi kwa shule ya sekondari Bariadi iliyopo mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

Wiki ya tafakuri katika sekta ya elimu

>Ni tukio la kwanza la aina yake nchini litakaloshuhudia wadau muhimu wa elimu wakipongezwa kwa mafanikio yao katika kuiendeleza Sekta ya Elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani