Nauli za DART zapigwa chini
SERIKALI imekataa viwango vya nauli mpya vilivyopendekezwa na Kampuni ya Uda Rapid Transit (UDA-RT), itakayotoa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam. Pamoja na kukataa imeweka bayana kuwa viwango hivyo viko juu ambavyo wananchi wengi watashindwa kuvimudu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Nauli za mabasi ya DART kujadiliwa keshokutwa
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imeandaa mkutano wa kujadili viwango vya nauli za mabasi yatakayotoa huduma ya usafiri wa haraka jijini hapa, keshokutwa.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Man United, Barca zapigwa chini Ulaya
Bayern Munich na Atletico Madrid zimetinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda mechi zao za marudiano za robo fainali zilizochezwa jana.
11 years ago
Bongo515 Jul
Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’
Hit maker wa Muziki Gani, Nay wa Mitego amefunguka kwa kudai kuwa amepandisha gharama za show zake mpaka milioni 5 kwa show za nje ya Dar Es Salaam. Nay wa Mitego akiwa nyumbani kwake na mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima Akizungumza na bongo5 leo, Nay , amesema imembidi apandishe gharama za show zake kutokana […]
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Israel itaharibu njia za chini kwa chini
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema kuwa Isareli haina budi ila kuharibu uwezo wa Hamas kivita
9 years ago
MichuziNCCR-MAGEUZI KWAFUKUTA CHINI KWA CHINI
NaChalila Kibuda,Globu ya Jamii CHAMA cha NCCR-MAGEUZI kimesema mkutano uliofanyika jana katika hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam na Makamu Mwenyekiti pamoja na Katibu Mkuu wa chama hicho hawajajua lengo lake kutokana na kutokwepo kwa baraka ya vikao kwa mujibu wa chama hicho.
Akizungumza leo na waandishi habari jana Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa Chama hicho, Mohamed Tibanyendela amesema kuwa mkutano huo hujafanyika kwa kufuata taratibu hivyo wanaamini kuwa walikuwa...
Akizungumza leo na waandishi habari jana Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa Chama hicho, Mohamed Tibanyendela amesema kuwa mkutano huo hujafanyika kwa kufuata taratibu hivyo wanaamini kuwa walikuwa...
11 years ago
Michuzi24 Feb
NGUMI ZAPIGWA MBAGALA
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Fainali za tenesi zapigwa Tanzania
Michuano ya kimataifa ya tenesi kwa kanda ya Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 16 yamefikia hatua ya fainali .
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CORONA, ligi zapigwa STOP
![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Rasmi, kutokana na kuepuka maambukizi ya Virusi vya Corona, Ligi mbalimbali duniani zimesimamishwa.
Vyama vya soka katika nchi hizo zimetangaza kusimamisha michezo kadhaa hadi mwezi wa Aprili.
Ligi kuu ya Uingereza (EPL) imetangaza kusimamisha michezo yote ya mpira wa miguu, FA, Premier League, EFL na Barclays FA Women’s Super League, pamoja na FA Women’s Championship hadi Aprili 04 mwaka huu ili kuepuka maambukizi ya virusi hivyo.
Ligi kuu Ufaransa (Ligue 1) pamoja na Ligue 2 zimesimamishwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania