Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege iliyonasa Arusha yaondoka

NDEGE aina ya boeing 767 ya Shirika la Ndege la Ethiopia iliyokuwa imenasa kwenye tope Desemba 18, mwaka huu katika uwanja mdogo wa ndege wa Kilimo Anga, Kisongo jijini Arusha,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lowassa anusurika ajali ya ndege Arusha

Abiria 37 waliokuwa wamesafaria ndege ya Shirika la Precision Air, akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana walinusurika kifo, baada ya magurudumu manne ya ndege hiyo kupasuka ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha.

 

11 years ago

Habarileo

Ndege ya Ethiopia yazua tafrani Arusha

Ndege ya Shirika la Ethiopian Airline aina ya Boeing 767 ikiwa nje ya njia ya kukimbilia baada ya kutua kwa dharura katika uwanja wa Arusha jana. (Picha na Mtandao wa JamiiForums.com).NDEGE ya Shirika la Ndege la Ethiopia, imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha baada ya kushindwa kutua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kutokana na ndege nyingine ya TFC kukwama kwenye njia ya kurukia.

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE NDEGE YA SHIRIKA LA ETHOPIAN AIRLINES YARUKA,JIJINI ARUSHA

Hatimaye ndege ya Shirika la Ethiopian Airlines iliyotua kwa dharura uwanja mdogo wa Arusha juzi ikiwa na abiria 200 imefanikiwa kuruka hivi punde!

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu ya Uganda ya riadha yaondoka

Timu ya Uganda inayokwenda kushiriki mashindano ya riadha ya dunia imekabidhiwa bendera ya taifa tayari kuondoka leo usiku.

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars yaondoka na matumaini kibao

WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ iliondoka jana alfajiri kwenda Ethiopia kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi leo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdallah Kibadeni amejigamba kuwa timu hiyo itafanya vizuri.

 

10 years ago

Habarileo

Taifa Stars yaondoka bila Samatta, Ulimwengu

Na Zena Chande KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema anaamini kikosi chake kitaimarika zaidi kwa kambi ya siku 10 Afrika Kusini.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya Majinjah yaondoka na wanafunzi watano UDSM

>Wanafunzi watano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ni miongoni mwa watu waliofariki katika ajali ya basi la Majinjah iliyotokea wilayani Mafinga, Jumatano baada ya kugongana na lori na kuangukiwa na kontena lililokuwa limebebwa na lori hilo.

 

10 years ago

GPL

Yanga yamteka beki Simba airport, yaondoka naye

Beki wa kati wa Mtibwa Sugar, Salim Mbonde Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KAMA noma na iwe noma, ukizubaa umeliwa, hivyo ndivyo unaweza kufikiria kutokana na vita ya chinichini inayoendelea katika usajili wa dirisha dogo la Ligi Kuu Bara, hasa kuhusu klabu kubwa za Yanga na Simba. Timu hizo zote zipo kwenye mawindo ya kusajili baada ya kutokuwa na matokeo ya kuridhisha katika mechi saba za awali za Ligi Kuu Bara, sasa Yanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani