Ndesamburo aitisha CCM Kilimanjaro
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa Kilimanjaro, Philemon Ndesamburo amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), utashinda kwa zaidi ya asilimia 60 katika majimbo tisa ya mkoa huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Oct
Ndesamburo: CCM wataendelea kunisindikiza Moshi Mjini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2491848/highRes/853934/-/maxw/600/-/a3yi73/-/ndesa+px.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ndesamburo: CCM wataendelea kunisindikiza Moshi Mjini
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Makada CCM waanza kukitolea macho ‘kiti’ cha Ndesamburo
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
9 years ago
Habarileo05 Oct
Samatta aitisha Msumbiji
MTANZANIA Mbwana Samatta jana alinoa vizuri makali yake baada ya kufunga mabao mawili wakati klabu yake ya TP Mazembe wakati ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa pili wa nusu fainali wa Ligi ya Mabingwa wa Afrika.
10 years ago
Mtanzania18 Aug
JK aitisha Kamati Kuu
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ameitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu kitakachofanyika Dodoma kesho.
Habari za uhakika zilizopatikana Dar es Salaam jana, zinasema moja ya ajenda kubwa inayoweza kutawala kikao hicho ni mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba ambalo limesusiwa na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Kwa muda sasa Ukawa wamekuwa wakimtaka Rais Kikwete aliahirishe Bunge Maalumu la...
9 years ago
Habarileo26 Nov
Kibadeni aitisha Ethiopia
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni amesema kikosi chake kipo imara na wamejipanga kuendeleza ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya Ethiopia.
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Rais wa Uturuki aitisha uchaguzi mkuu
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Waziri Mkuu, Majaliwa Aitisha Kikao na Baraza la Mawaziri
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).