Ndoto ya Kigoma kuwa Dubai ndogo inavyoyeyuka
Mkoa wa Kigoma umekuwa kivutio kikubwa kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo16 Sep
JK: Ndoto kuipaisha Kigoma zinatimia
RAIS Jakaya Kikwete amesema ndoto yake ya kuuona mkoa wa Kigoma ukileta mabadiliko makubwa ya kiuchumi nchini imeanza kutimia, kutokana na kuanza kutekelezwa kwa miradi mbalimbali ya kiuchumi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIuXPv1DFnzacqC4U*CWVZ3EtBQyd85KnySlSNlXRAW5Qa2PUgB2qNB*ITuEnOHi3qZ6Y7fNuD306waEp-yVpXAv/aishaaa.jpg)
AISHA MADINDA; KUTOKA KIGOMA, UHOLANZI, DUBAI HADI KIFO!
Aisha Madinda akiwa na mkurugenzi wa ASET Asha Baraka.
Makala: Sifael Paul na Gladness Mallya Amekwenda mapema mno! Siku ya Desemba 17, mwaka huu haikuwa poa hata kidogo kwenye tasnia ya muziki wa dansi Bongo katika kipengele cha unenguaji.
Chumba chetu cha habari cha Global Publishers kinachofanya kazi kwa karibu na mastaa Bongo kilipata mshtuko wa aina yake. Zilikuwa ni habari mbaya za kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Ndoto zangu ni kuwa msanii wa kimataifa
Burudani ni suala muhimu katika maisha ya kila siku, kwa upande mwingine pia ni ajira kwa baadhi ya vijana . Kundi kubwa la vijana limekuwa likitamani kuingia katika fani hiyo na kuwa wasanii ili
11 years ago
KwanzaJamii12 Aug
DK. MAGUFULI: FOLENI DAR KUWA NDOTO
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema katika kipindi cha miaka mitatu ijayo tatizo la msongamano wa magari katika barabara za jiji la Dar es Salaam litakuwa ndoto.
Alisema hayo jana wakati wa ziara ya kukagua miradi ya barabara inayojengwa katika jiji hilo.
Alisema serikali imetenga zaidi ya Sh. Trilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa barabara za jiji la Dar es Salaam, ikiwamo ujenzi wa ‘Fly Over’ katika makutano ya barabara za Ubungo, Tazara na Kamata.
Waziri Magufuli alisema...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--5yCKWG5y2c/VbUz8NiJhtI/AAAAAAABSvM/VD5gZd0IfP0/s72-c/WEMA%2BSEPETU.jpg)
NDOTO YA WEMA SEPETU KUWA MBUNGE YAYEYUKA
![](http://3.bp.blogspot.com/--5yCKWG5y2c/VbUz8NiJhtI/AAAAAAABSvM/VD5gZd0IfP0/s640/WEMA%2BSEPETU.jpg)
Hiyo ni baada ya kushindwa kuwashawishi wanachama wa CCM mkoani mkoani Singida kumpa dhamana ya kuwawakilisha kwenye viti maalum vya ubunge.Wema ameshindwa kupita kwenye kura za maoni za ubunge huo kwa kupata kura 90 tu. Aliyeongoza kwenye kinyang’anyiro hicho ni Aysharose Mattembe (311), Martha Mlata (235) na Diana Chilolo (182).Wema amekubali kushindwa na kudai kuwa ushiriki wake umempa ujasiri zaidi.“Nilivyoamua...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Fundi bomba mwenye ndoto ya kuwa mwanamuziki mashuhuri
“Msanii mdogo kutoka ni kazi sana hatukubaliki kirahisi, inahitaji nguvu ya ziada na fedha kama huna fedha ndiyo kabisa hutasomeka kwenye vyombo vya habariâ€.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Sera za kila Mtanzania kuwa tajiri ni ndoto za mchana
"Siku zote tajiri ndiye atakayeamua huyu alipwe mshahara kiasi gani, huyu apate kiasi gani. Na itaendelea kuwa hivyo mpaka wafanyakazi wamgomee, waje juu waseme; “Wewe siyo tajiri mzuri!†Sijui kama kuna tajiri mzuri na tajiri mbaya, na hivyo nawaambieni kwamba hakuna tajiri mzuri, matajiri wote ni wezi!â€
10 years ago
Mwananchi24 Jan
ZUHURA YUNUS: Haikuwa ndoto yangu kuwa mtangazaji
Siyo jambo la ajabu kwa wasikilizaji wa redio au televisheni kuiga sauti za watangazaji kutokana na umahiri wanaouonyesha wawapo kazini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania