Ndugu wamchinja mpenzi wa mama yao
NDUGU wawili wa kiume wa familia moja wilayani Mlele mkoa wa Katavi, wanatuhumiwa kumuua mpenzi wa mama yao kwa kumchinja, kisha kutelekeza mwili wake porini. Wakazi hao ambao mmoja ni mtoto mwenye umri wa miaka 16 ni wakazi wa Kitongoji cha Milumba Kata ya Kibaoni na aliyeuawa ni Kitungulu Luhende (65).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Familia yatishia kususia mwili wa ndugu yao
FAMILIA ya marehemu Elinema Massawe imesema wataususa mwili wa marehemu ndugu yao katika Kituo cha Polisi Mbezi kwa Yusufu pindi polisi hao watakapolazimisha kazi ya upasuaji kufanywa na Daktari wa...
9 years ago
Bongo520 Oct
Mabeste na mpenzi wake Lisa wajichora tattoo za majina yao
10 years ago
Bongo Movies04 Jun
Wema na mpenzi wa Linah kunani?? Picha yao ya kimahaba yanaswa mtandaoni
Nadhani hatuna haja ya kueleza zaidi ni maeneo gani hiyo picha itakuwa imepigwa. Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi wetu. Pichani ni mwanadada wetu Wema Sepetu na kijana aliyetajwa kuwa ni mpenzi wa mwanamuziki linah sana. Hatujui kinachoendelea mpaka sasa, yawezejana ni video mpya inafanyiwa promo, yawezekana ni tangazo la TV au bidhaa mpya mtaani na wala haituhusu, Ila tumeona si vyema tusipowaletea kinachojiri hivi sasa kati ya hao wawili.
Sisi yetu macho.
Kufahamu ni KODI gani...
10 years ago
Bongo Movies04 Jun
Wema na mume wa mpenzi wa Linah kunani?? Picha yao ya kimahaba yanaswa mtandaoni
Nadhani hatuna haja ya kueleza zaidi ni maeneo gani hiyo picha itakuwa imepigwa. Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi wetu. Pichani ni mwanadada wetu Wema Sepetu na kijana aliyetajwa kuwa ni mpenzi wa mwanamuziki linah sana. Hatujui kinachoendelea mpaka sasa, yawezejana ni video mpya inafanyiwa promo, yawezekana ni tangazo la TV au bidhaa mpya mtaani na wala haituhusu, Ila tumeona si vyema tusipowaletea kinachojiri hivi sasa kati ya hao wawili.
Sisi yetu macho.
Kufahamu ni KODI gani...
11 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mwanamuziki Msami akiri kuwa mpenzi wa Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango yao
Mkali wa Sound Track ambaye pia ni mkali wa kuvunja (dancer) amezungumzia uhusiano wake na muigizaji mrembo wa Bongo Movies, Irene Uwoya.
Akiongea na tovuti ya Times Fm, Msami alizunguka sana mbuyu kutaka kutoa maelezo kuhusu ukweli wa mambo kati ya wawili hao lakini kwa mara ya kwanza aliamua kuiambia tovuti ya Times Fm kauli yake kutokana na jinsi alivyoulizwa.
“Kaongea kwa upole huyu jamaa, kaapproach ili apate jibu. Ni kweli (kicheko)…nimekuridhisha lakini, nimeamua kukuridhisha.”...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV21RV-AVGbuWDZVjkl2S8OUbkCypDuBMeJmY-CZxyF2xxAgHXEk8ik2UrmwioW5Q4Xq9OrIo0Z*EfBShAU*2oln/goto4.jpg)
IS WAMCHINJA MATEKA MWINGINE WA JAPAN
9 years ago
Bongo502 Oct
Tekno kwa Diva: Wewe ni msichana mrembo kwanini huna mpenzi?” Sikiliza mahojiano yao ya kuvutia hapa (Audio)
11 years ago
Habarileo12 Jul
3 wakana kumuua mama yao
WAKAZI watatu wa kijiji cha Uhelela wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma wamekana shitaka linalowakabili la mauaji ya kukusudia ya mama yao mzazi, ambapo wanadaiwa kumshambulia kutokana na kitendo chake cha kumlazimisha mjukuu wake kula mchele.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1WxkYiVIEvj22gkPMt4QwVgO-Fu86*4emxz9QWOaG1yTWo9Sx0x5eoEjsSKLzK87PeASaUdKA9vm*sDwLnaJtMFbI9-iqvCz/don.jpgw600h764.jpg?width=650)
D'BANJ APATANA NA DON JAZZY, AMTAMBULISHA MPENZI WAKE KWENYE TUZO ZA MAMA