Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Need for budgetary beefing up for prisons sounded


IPPmedia
Need for budgetary beefing up for prisons sounded
IPPmedia
Slowly they match with their well polished black and shiny shoes and not to mention of the well pressed suits so sharp that one would think a ruler was used to make it straight. The three gentlemen are so smart that one would think that they are going to ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

VIDEO: Beefing up Botswana's cattle farming

With some experts forecasting the diminution of diamond reserves in as little as 20 years, Botswana must look to diversify its export industry.

 

9 years ago

IPPmedia

Need for pupils with disabilities to have special attention sounded


IPPmedia
Need for pupils with disabilities to have special attention sounded
IPPmedia
Kinondoni Municipal Director Mussa Natti (2rd-L) speaking shortly before handing over desks and educational equipments to students with autism at Mbuyuni Primary School in Kinondoni Municipal. Primary schools with disabilities are supposed to be ...

 

10 years ago

StarTV

Yanga yaipiga Prisons 2-1.

YANGA jana ilipata ushindi wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara kwa kuilaza Prisons ya Mbeya mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Timu hiyo imepata ushindi huo baada ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini kwa kufungwa mabao 2-0 na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.

Mfungaji wa bao la kwanza la Yanga jana alikuwa Mbrazil Andrey Coutinho kwa mpira wa adhabu nje ya 18. Mwamuzi wa mchezo huo alitoa adhabu baada ya Coutinho kufanyiwa madhambi na mabeki...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS

Kikosi cha Young Africans kilichoanza leo dhidi ya Tanzania Prisons
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yainyuka Prisons kwao

Mabingwa wa Ligi Kuu, Yanga wameendelea kugawa dozi mkoani Mbeya baada ya jana kuichapa Tanzania Prisons kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaivaa Prisons leo

‘Kutenda kosa si kosa, ila kosa kurudia kosa...’ hiyo ni kauli mbio ya Yanga watakaposhuka leo kwenye Uwanja wa Taifa, kuwakaribisha Tanzania Prisons, huku JKT Ruvu wataonyeshana kazi na Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Prisons yaacha wachezaji wanane

Timu ya Tanzania Prisons ya jijini hapa imewafungashia virago wachezaji wake wanane kati ya 11 waliomaliza mikataba ya kuichezea timu hiyo kwa msimu uliopita.

 

11 years ago

GPL

Mbeya City yaibamiza Prisons

Baadhi ya wachezaji wa Mbeya City wakishangilia ushindi. Na Sophia Mwaipyana, Mbeya
VIJANA wa Mbeya City wameendelea kuonyesha kuwa wapo kikazi zaidi msimu huu baada ya kutoa kipigo cha bao 1-0 kwa wapinzani wao wa mji mmoja, Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Mbeya City ambayo imefikisha pointi 45, ilipata bao lake kupitia kwa Paul Nonga katika… ...

 

10 years ago

TheCitizen

More prisons needed to deal with overcrowding, says JK

President Jakaya Kikwete said yesterday that there is a need to build more prisons and renovate existing ones so as to reduce inmates overcrowding.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani