Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEEMA CHANDE AIBUKA NA KITUMBO

Imelda Mtema
Baada ya kupotea kwa muda mrefu, msanii wa filamu ambaye pia ni Miss Ruvuma 2007, Neema Chande ameibuka akiwa na mimba kubwa huku kukiwa na usiri juu ya mhusika wa tumbo hilo. Msanii wa filamu ambaye pia ni Miss Ruvuma 2007, Neema Chande. Neema hivi karibuni alikimbilia nchini India kusaka maisha na alipozungumza na mwandishi wetu juzi kwa njia ya simu alisema, watu wajue tu kwamba ana mimba aliyopewa na Muafrika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ROSE MHANDO ATUMBUIZA NA KITUMBO

Stori: Mwandishi Wetu, Singida BAADA ya kudaiwa kulipwa fedha na kuingia mitini kwenye matamasha mbalimbali, mwanamuziki ‘grade one’ wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani) amenaswa akitumbuiza jukwaani akiwa na ujauzito mkubwa. Mwanamuziki ‘grade one’ wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando akitumbuiza. Tukio hilo lililowashangaza watu wengi lilitokea Jumapili iliyopita katika Kijiji cha...

 

11 years ago

GPL

ODAMA APIGA MZIGO KITUMBO NDII

MTOTO mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amesema japokuwa ni mjamzito lakini bado ana kasi zaidi katika kufanya kazi zake za filamu. Jennifer Kyaka ‘Odama’. Akipiga stori na paparazi wetu, Odama alisema watu wengi wanaamini unapokuwa mjamzito unaacha shughuli zako lakini kwake mambo ni tofauti, kazi kama kawaida. “Mimi mzigo hapa naendelea kama kawaida wala mimba siyo kigezo cha...

 

10 years ago

GPL

KITUMBO CHA ZARI KIMEMFURAHISHA MAMA WEMA!

Stori: Imelda Mtema/Amani SIKU chache baada ya kuvuja kwa picha zinazomuonesha mpenzi wa sasa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akiwa na kitumbo kinachoashiria kukua kwa ujauzito, mama mzazi wa zilipendwa wa Diamond, Wema Sepetu ‘Madam’, Mariam Sepetu amefunguka kuwa amefurahia tukio hilo.
Mzazi huyo ambaye ni fundi wa kuzungumza, alisema tukio hilo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kitumbo amtaka Jamhuri Kihwelo amuombe radhi siku saba

kitumbo.1

Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).

Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo amempa siku saba kocha wa timu ya Mwadui  Jamhuri  Kihwelo  amuomba radhi kwa kile alichodai kuwa ametoa lawama zisizo za kweli dhidi yake kupitia vyombo vya habari.

Akizungumza na waandishi wa habari Kitumbo alisema amesikitishwa na taarifa alizozitoa kocha huyo dhidi yake zinazomhusisha kuwa amekuwa akileta vurugu katika...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Chande ft. Belle 9 — Usichelewe

Hii ni video mpya kutoka kwa Chande akimshirikisha Belle 9 wimbo unaitwa “Usichelewe” video imeongozwa na Nick Dizzo

 

9 years ago

IPPmedia

Chief Justice Mohamed Othman Chande


IPPmedia
Chief Justice Mohamed Othman Chande
IPPmedia
Chief Justice Mohamed Othman Chande has condemned the length of time it took for a case to be concluded and a ruling given, calling for a speeded up process for a case to take not more than a year or within eighteen months period. He told the press ...

 

9 years ago

IPPmedia

Chief Justice, Mohamed Chande Othman


Chief Justice, Mohamed Chande Othman
IPPmedia
Chief Justice Mohamed Chande Othman has underlined the need for Judiciary staff to ensure courts of law recapture public, saying their image stands tainted by corruption and various other unethical practices. Opening a two-day Judiciary workers ...

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Chande: Nilivyopata uongozi Freemason

Wamekuwa wakitajwa kwenye kila aina ya minong’ono. Tumeona matangazo yakialika watu kujiunga nao kama wanataka kupata utajiri na kuwa watu wenye nguvu. Lakini bado Freemason, imebaki kuwa kitendawili miongoni mwa Watanzania wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 60 ya Sir Chande ndani ya Freemason nchini

Wakati mwigizaji maarufu Stephen Kanumba alipofariki ghafla April 2012, aliacha mjadala na maswali kwa wapenzi wake, kama alikuwa mwanachama wa Freemason au la.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani