ODAMA APIGA MZIGO KITUMBO NDII
![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovD0tqcX1R5vx6TM4xssJKfH3fIzP57RvTRqp7NQhcmXSFbcOTW9NejU5o1ufBAuzT4xrzBCjtqhLrDbYd8MRZdq/ODAMA.jpg?width=650)
MTOTO mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amesema japokuwa ni mjamzito lakini bado ana kasi zaidi katika kufanya kazi zake za filamu. Jennifer Kyaka ‘Odama’. Akipiga stori na paparazi wetu, Odama alisema watu wengi wanaamini unapokuwa mjamzito unaacha shughuli zako lakini kwake mambo ni tofauti, kazi kama kawaida. “Mimi mzigo hapa naendelea kama kawaida wala mimba siyo kigezo cha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci3nrw-kZwMikHRQl4GXyJJcdNYB1CHrtjJv4yONQchbmYbpgpFwoiXdyar*hnSSa*yijH4Nr6Rg2-h5Ep9g8J3I/Rose.jpg?width=650)
ROSE MHANDO ATUMBUIZA NA KITUMBO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNNI6pji7M*u95vBME4rHVSogKUlmvTiO3hzy60mP-3RgiL-SxKSWgnIJk65iXhQIE-RBQMMtET6U*pTjy7NDj5w/Neema.jpg)
NEEMA CHANDE AIBUKA NA KITUMBO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzM0B8DKLT6NsUshRyWnwR70Wm1HcaTkXoj6xpAq1xTqSE-XKIzZTe4-8*Rqku8t2KMWAT8BYGrfXk7qZtLDwqGc/Diamond.jpg)
KITUMBO CHA ZARI KIMEMFURAHISHA MAMA WEMA!
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Kitumbo amtaka Jamhuri Kihwelo amuombe radhi siku saba
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo amempa siku saba kocha wa timu ya Mwadui Jamhuri Kihwelo amuomba radhi kwa kile alichodai kuwa ametoa lawama zisizo za kweli dhidi yake kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi wa habari Kitumbo alisema amesikitishwa na taarifa alizozitoa kocha huyo dhidi yake zinazomhusisha kuwa amekuwa akileta vurugu katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7knxRUxE-FoVJf90L6Kpa5VAPvKhE5KlrxEqTY8j5KbqORKBNkZ5WohQu4MaqlgCrLK5Kb0Bq*z5ie2RlWyjG5P/ODAMA.jpg)
ODAMA AMKANA PEDESHEE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BvvAZRNFqnT3kzW1p4vKjtzHWuwMDet0DD99Fmo6gwWL8KVbUGdoA5SAqXg74IG*IqP2ZCUh-fz0NDuZ1TM6zhjYX2gTKwNI/ODAMA.jpg)
ODAMA AHOFIA KIFO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnk9CuuCTeBrt3SXeApWPt4a5X98ctuhyPOpzXDHKfKgLJ*B9AAk8ARWNun2Pn7wD1RUzobEzYiPfRvzQ-toAHC/odama.jpg?width=650)
ODAMA AJIFUNGUA KIDUME
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNX9fvBGfH8IhHcRvKHiUayuHQeMZVXpp3g74FYuI8gMoLu*cgQgM3BfJD4mLg6ZBQfTf7qN2vP3VAaqJwyB20OS/p.txt.jpg)
MTOTO AMTESA ODAMA
10 years ago
Mtanzania28 May
Odama: Naogopa msaada wa masharti
Na Rhobi Chacha
MWIGIZAJI mwenye mvuto katika filamu za Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’, amesema anaogopa marafiki wa kiume kwa kuwa huwa na masharti magumu pindi wanapotoa msaada.
“Wasanii wa kiume kwangu sipendi kwa kuwa huwa na masharti kuliko marafiki wa kike ambao husaidia bila masharti ya ajabu,” alisema.
Aliongeza kwamba, marafiki wa kike anakuwa huru kuwaeleza shida na matatizo yake kuliko wa kiume ndiyo maana hiyo ni sababu yake nyingine ya kutopenda marafiki wa kiume kama anavyopenda...