NENO LA LEO HILO (KURA NI SIRI)
Politics is game of darkness.....unaemdhania wako kumbe sio wako,na unaemdhani si wako anaweza akawa ni wako..jihadhari kumchukia jamaa au ndugu yako eti kisa yuko chama tofauti..KURA NI SIRI
SOURCE: SALIM AKIDA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Z1i4jh9pzG0/UvK1hxnX_iI/AAAAAAAAL5I/VAxTnctgDnE/s72-c/1554391_1429422633962048_1933863747_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua
Blogger Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu,
Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.
Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.
Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Namna bora ya kutengeneza neno la siri mtandaoni-2
9 years ago
StarTV26 Dec
Jeshi la Polisi latakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu askari wanaotoa siri za jeshi hilo
Jeshi la polisi mkoani Tabora limeagizwa kuwachukulia hatua za kinidhamu za kijeshi askari polisi ambao wanajihusisha na vitendo vya kihalifu na utoaji siri za jeshi kwa wahalifu kwa makusudi ya kujipatia kipato.
Agizi hilo limetolewa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kuendelea kufanya kazi na Askari wasio waaminifu wanaovujisha siri za kupambana na uhalifu.
Agizo hilo la Mkuu wa mkoa wa Tabora Ludovick Mwananzila amelitoa katika hafla...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Pinda apiga kura kijijini kwake Kibaoni na kusema neno
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga kura kumchagua Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura kilichopo kwenye Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni wilayani Mlele Oktoba 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EgtGSxUXC_c/VcCB4rhPkDI/AAAAAAAATJU/xkcVASPKJxs/s72-c/hoja.jpg)
NENO UKABILA LATAWALA KAMPENI ZA CCM KURA ZA MAONI JIJINI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-EgtGSxUXC_c/VcCB4rhPkDI/AAAAAAAATJU/xkcVASPKJxs/s640/hoja.jpg)
10 years ago
Vijimambo01 Mar
NENO LA LEO
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10988915_1049554535073936_5081741710665472633_n.jpg?oh=cc5c2c490d5a9266c35f251b134378af&oe=5579745E)
JAY PILI NJEMA, KWARESMA NJEMA.
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Kura ni siri ya mtu
NICHUKUE nafasi hii kuwatakia wasomaji wangu uchaguzi mzuri, huru na wa amani.
Privatus Karugendo