Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NENO LA LEO HILO (KURA NI SIRI)


Politics is game of darkness.....unaemdhania wako kumbe sio wako,na unaemdhani si wako anaweza akawa ni wako..jihadhari kumchukia jamaa au ndugu yako eti kisa yuko chama tofauti..KURA NI SIRI

SOURCE: SALIM AKIDA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna bora ya kutengeneza neno la siri mtandaoni-2

Kama nilivyoeleza katika makala yangu wiki moja iliyopita, neno la siri au nywila, ni miongoni mwa mambo ya msingi na lazima kuwa nalo kwa mtumiaji wa mawasiliano katika mitandao.

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la Polisi latakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu askari wanaotoa siri za jeshi hilo

Jeshi la polisi mkoani Tabora limeagizwa kuwachukulia hatua za kinidhamu za kijeshi askari polisi ambao wanajihusisha na vitendo vya kihalifu na utoaji siri za jeshi kwa wahalifu kwa makusudi ya kujipatia kipato.

Agizi hilo limetolewa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kuendelea kufanya kazi na Askari wasio waaminifu wanaovujisha siri za kupambana na uhalifu.

Agizo hilo la Mkuu wa mkoa wa Tabora Ludovick Mwananzila amelitoa katika hafla...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pinda apiga kura kijijini kwake Kibaoni na kusema neno

IMGS8630

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akipiga kura kumchagua Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura kilichopo kwenye Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni wilayani Mlele Oktoba 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS8634

 

10 years ago

Vijimambo

NENO UKABILA LATAWALA KAMPENI ZA CCM KURA ZA MAONI JIJINI MBEYA

Na Mwandishi wetu,Mbeya  BAADHI ya wananchi wa Mkoa wa Mbeya, wamekitaka chama cha mapinduzi, kutoa onyo kali kwa wanachama wake ambao ni miongoni mwa wagombea nafasi ya ubunge Jimbo la Mbeya mjini, kuacha kutoa matamshi yanayoashiria vitendo vya ubaguzi wa kikabila. Wakizungumza jiji Mbeya , mara baada ya chama hicho kupitia wilaya kutangaza matokeo ya uchaguzi wa ubunge kwa  wagombea 16 ambao walijitokeza kuwania nafasi hiyo. Walisema, chama kama chama hakijaundwa wala kuongozwa na sera ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NENO LA LEO

Paka hana kosa, mchukie anaye mtumia, shetani huweza kuingia mwilini mwa bosi wako, jirani yako, ndugu yako mkakorofishana mkachukiana, usimchukie bali muombee sio yeye. Ukijigeuza ukawa paka kwangu ntafurahi ule panya milele na hautarudi tena kuwa mtu  Mungu anahitaji kumuomba tu. Sali kabla ya kulala,
JAY PILI NJEMA, KWARESMA NJEMA.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kura ni siri ya mtu

NICHUKUE nafasi hii kuwatakia wasomaji wangu uchaguzi mzuri, huru na wa amani.

Privatus Karugendo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani