Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Suma Mnazaleti — Kimeo

Wimbo mpya kutoka kwa Suma Mnazaleti wimbo unaitwa “Kimeo” Producer Zest

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Song: Suma Mnazaleti Ft Roma — Mnazaleti Mkatoliki

Hii ni ngoma Mpya kutoka kwa Suma Mnazalet akimshirikisha Roma Mkatoliki ngoma inaitwa “Mnazaleti Mkatoliki” Producer Mensen Selecta

 

11 years ago

GPL

SUMA MNAZALETI ATINGA GLOBAL TV ONLINE

Suma Mnazaleti akiwa kwenye pozi ndani ya Studio ya Global TV Online. Muongozaji wa kipindi Pamela(kulia) akifanya maojiano na Suma Mnazaleti (kushoto).…

 

9 years ago

Bongo5

Music: Msaga Suma – Unanitega Shemeji

mqdefault

Msanii ambaye nyimbo zake zina fanya vizuri sana mitaa ya uswahilini anaitwa Msaga Sumu ameachiwa wimbo mpya unaitwa “Unanitega Shemeji”.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Soggy/Suma-G/Inspector/Juma Nature/Hammer Q — Wakali wa hizi Kazi

Way Back Entertainment inakuletea mradi ambao utakuwa ukiwakutanisha wasanii wa zamani katika kurekodi pamoja nyimbo mpya na kufanya matamasha ya pamoja. Kwa kuanzia WAY BACK imewakutanisha kwenye wimbo mmoja wakali wafuatao SOGGY DOGGY,SUMA-G,INSPECTOR HARUN,JUMA NATURE NA HAMMER Q producer Q The Don akiwa ni Q the Don.

 

10 years ago

GPL

FAST JET KIMEO!

Stori: Ojuku Abraham
SHIRIKA la Ndege la Fast Jet linalotoa huduma ya usafiri wa anga katika baadhi ya mikoa ya Tanzania na nje ya nchi, limelalamikiwa na wateja wake mbalimbali kutokana na jinsi linavyofanya kazi, Risasi Jumatano lina habari kamili. Wafanyakazi wa Shirika la ndege la Fast Jet. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na gazeti hili, baadhi ya wateja hao wamesema kuwa, matangazo ya kila siku kuwa shirika hilo linatoa...

 

9 years ago

GPL

HUYU BABA KIMEO KWELI!

KWA kawaida sherehe za harusi ni shughuli ya furaha sana, bwana na bibi harusi na ndugu wa pande zote wanakuwa katika hali ya furaha, labda iwe ndoa ya mkeka, hapo furaha inaweza kuwa nusunusu au haipo kabisa watu wote wamenuna. Lakini harusi niliyoalikwa juzi ilikuwa ya aina yake. Nilijitahidi kuchangia vizuri hivyo kadi yangu ilikuja mapema, mwenyewe nikavaa ile suti yangu ya siku za mnuso na kuelekea kwenye ukumbi. Palikuwa...

 

10 years ago

GPL

KUMBE GARI LA WEMA KIMEO

Musa mateja
NInoma! Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake wa awali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ mwaka jana, linadaiwa kuwa kimeo kwa vile limekuwa likiharibika mara kwa mara, Amani lina stori kamili. Gari aina ya BMW la Staa wa filamu Bongo, Wema...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyenusurika kifo baada ya kukatwa kimeo

>“Mwanangu aitwaye Leri (si jina halisi) mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu. Siku ya pili baada ya kumpeleka kwa mkata vimeo maeneo ya Kariakoo, nilikuwa na matumaini atapona kikohozi kumbe nimemuongezea matatizo. Hali yake ni mbaya.

 

11 years ago

GPL

MBALI NA MVUA KUPUNGUA, BARABARA YA IFAKARA - MLIMBA BADO KIMEO

Magari yakiwa yamekwama katika barabara ya Ifakara - Mlimba mkoani Morogoro. MBALI na mvua kupungua katika maeneo mbalimbali ya nchi, bado hali si nzuri kwa watumiaji wa barabara ya Ifakara kwenda Mlimba mkoani Morogoro baada ya magari kukwama kwenye barabara hiyo ambayo bado imejaa tope. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO NA UNGEPENDA LITOKEE KATIKA TOVUTI HII, TUTUMIE KUPITIA NAMBA YETU… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani