New Music: Suma Mnazaleti — Kimeo
Wimbo mpya kutoka kwa Suma Mnazaleti wimbo unaitwa “Kimeo” Producer Zest
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo506 Aug
New Song: Suma Mnazaleti Ft Roma — Mnazaleti Mkatoliki
Hii ni ngoma Mpya kutoka kwa Suma Mnazalet akimshirikisha Roma Mkatoliki ngoma inaitwa “Mnazaleti Mkatoliki” Producer Mensen Selecta
11 years ago
GPLSUMA MNAZALETI ATINGA GLOBAL TV ONLINE
Suma Mnazaleti akiwa kwenye pozi ndani ya Studio ya Global TV Online. Muongozaji wa kipindi Pamela(kulia) akifanya maojiano na Suma Mnazaleti (kushoto).…
9 years ago
Bongo531 Dec
Music: Msaga Suma – Unanitega Shemeji
![mqdefault](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/mqdefault-300x180.jpg)
Msanii ambaye nyimbo zake zina fanya vizuri sana mitaa ya uswahilini anaitwa Msaga Sumu ameachiwa wimbo mpya unaitwa “Unanitega Shemeji”.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo520 Oct
New Music: Soggy/Suma-G/Inspector/Juma Nature/Hammer Q — Wakali wa hizi Kazi
Way Back Entertainment inakuletea mradi ambao utakuwa ukiwakutanisha wasanii wa zamani katika kurekodi pamoja nyimbo mpya na kufanya matamasha ya pamoja. Kwa kuanzia WAY BACK imewakutanisha kwenye wimbo mmoja wakali wafuatao SOGGY DOGGY,SUMA-G,INSPECTOR HARUN,JUMA NATURE NA HAMMER Q producer Q The Don akiwa ni Q the Don.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT3qHtuzHwjpQfw4uy2qLyDk7fHJNENW*nfxbcIevrFV-XiHUyNBRWeQuKP28X1Eh6jfZCNdzOkuYh4UoLcj*dbz/fast.jpg)
FAST JET KIMEO!
Stori: Ojuku Abraham
SHIRIKA la Ndege la Fast Jet linalotoa huduma ya usafiri wa anga katika baadhi ya mikoa ya Tanzania na nje ya nchi, limelalamikiwa na wateja wake mbalimbali kutokana na jinsi linavyofanya kazi, Risasi Jumatano lina habari kamili. Wafanyakazi wa Shirika la ndege la Fast Jet. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na gazeti hili, baadhi ya wateja hao wamesema kuwa, matangazo ya kila siku kuwa shirika hilo linatoa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JQbgrkxt9uevpxKbd-z3sVdskVw8f84-7fqx-gtnvP*Ob7GTRQZx1WEE6sIDgHhn-fMfcUiH604buE8gIlgKxn7rDx4evwE9/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
HUYU BABA KIMEO KWELI!
KWA kawaida sherehe za harusi ni shughuli ya furaha sana, bwana na bibi harusi na ndugu wa pande zote wanakuwa katika hali ya furaha, labda iwe ndoa ya mkeka, hapo furaha inaweza kuwa nusunusu au haipo kabisa watu wote wamenuna. Lakini harusi niliyoalikwa juzi ilikuwa ya aina yake. Nilijitahidi kuchangia vizuri hivyo kadi yangu ilikuja mapema, mwenyewe nikavaa ile suti yangu ya siku za mnuso na kuelekea kwenye ukumbi. Palikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xbc0vWPYETu91hjBVUxNH0*70Q7ec8Z8KEjBpIfY0mddpmO3vD38teQCNm1*BUKa4NiwjHbufcgYJUFKlQNwDVRDO1lQzpjQ/BACKAMANI.jpg)
KUMBE GARI LA WEMA KIMEO
Musa mateja
NInoma! Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake wa awali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ mwaka jana, linadaiwa kuwa kimeo kwa vile limekuwa likiharibika mara kwa mara, Amani lina stori kamili. Gari aina ya BMW la Staa wa filamu Bongo, Wema...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Mtoto aliyenusurika kifo baada ya kukatwa kimeo
>“Mwanangu aitwaye Leri (si jina halisi) mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu. Siku ya pili baada ya kumpeleka kwa mkata vimeo maeneo ya Kariakoo, nilikuwa na matumaini atapona kikohozi kumbe nimemuongezea matatizo. Hali yake ni mbaya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Yi5LA9KxwzaMJbn*y6XnHmVdNemfCRhwM0BPbMszTkkcNnpS1VWQslIg5bV1OrD9fqjpnKL8t2wF5*VaTtRSchC/BARABARAIFAKARA2.jpg?width=650)
MBALI NA MVUA KUPUNGUA, BARABARA YA IFAKARA - MLIMBA BADO KIMEO
Magari yakiwa yamekwama katika barabara ya Ifakara - Mlimba mkoani Morogoro. MBALI na mvua kupungua katika maeneo mbalimbali ya nchi, bado hali si nzuri kwa watumiaji wa barabara ya Ifakara kwenda Mlimba mkoani Morogoro baada ya magari kukwama kwenye barabara hiyo ambayo bado imejaa tope. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO NA UNGEPENDA LITOKEE KATIKA TOVUTI HII, TUTUMIE KUPITIA NAMBA YETU… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania