Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAST JET KIMEO!

Stori: Ojuku Abraham
SHIRIKA la Ndege la Fast Jet linalotoa huduma ya usafiri wa anga katika baadhi ya mikoa ya Tanzania na nje ya nchi, limelalamikiwa na wateja wake mbalimbali kutokana na jinsi linavyofanya kazi, Risasi Jumatano lina habari kamili. Wafanyakazi wa Shirika la ndege la Fast Jet. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na gazeti hili, baadhi ya wateja hao wamesema kuwa, matangazo ya kila siku kuwa shirika hilo linatoa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

You asked for it. It’s finally here! We're flying to Kenya! - Fast jet at your service...

Nairobi is one of the most popularly requested destinations and we’re thrilled to announce our two new routes to the destination! You can now fly with fastjet from both Kilimanjaro and Dar es Salaam daily to Nairobi! Tickets are now on sale and flights to Nairobi take just an hour from Kilimanjaro and 90 minutes from Dar es Salaam. It’s never been quicker to get to Kenya from Tanzania!The first flight departs 11th January, so 2016 has already got off to a flying start. One-way prices start...

 

5 years ago

ABC News

The race for a COVID-19 vaccine: Fast, but fast enough?

The race for a COVID-19 vaccine: Fast, but fast enough?  ABC NewsResearchers push against limits in vaccine race  Asia TimesCobb company to soon begin testing possible vaccines for COVID-19  11AliveRace for vaccine tests limits of drug innovation  Malay MailSpeed coronavirus vaccine testing by deliberately infecting volunteers? Not so fast, some scientists warn  Science MagazineView Full coverage on Google News

 

9 years ago

GPL

HUYU BABA KIMEO KWELI!

KWA kawaida sherehe za harusi ni shughuli ya furaha sana, bwana na bibi harusi na ndugu wa pande zote wanakuwa katika hali ya furaha, labda iwe ndoa ya mkeka, hapo furaha inaweza kuwa nusunusu au haipo kabisa watu wote wamenuna. Lakini harusi niliyoalikwa juzi ilikuwa ya aina yake. Nilijitahidi kuchangia vizuri hivyo kadi yangu ilikuja mapema, mwenyewe nikavaa ile suti yangu ya siku za mnuso na kuelekea kwenye ukumbi. Palikuwa...

 

10 years ago

GPL

KUMBE GARI LA WEMA KIMEO

Musa mateja
NInoma! Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake wa awali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ mwaka jana, linadaiwa kuwa kimeo kwa vile limekuwa likiharibika mara kwa mara, Amani lina stori kamili. Gari aina ya BMW la Staa wa filamu Bongo, Wema...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Suma Mnazaleti — Kimeo

Wimbo mpya kutoka kwa Suma Mnazaleti wimbo unaitwa “Kimeo” Producer Zest

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyenusurika kifo baada ya kukatwa kimeo

>“Mwanangu aitwaye Leri (si jina halisi) mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu. Siku ya pili baada ya kumpeleka kwa mkata vimeo maeneo ya Kariakoo, nilikuwa na matumaini atapona kikohozi kumbe nimemuongezea matatizo. Hali yake ni mbaya.

 

11 years ago

GPL

MBALI NA MVUA KUPUNGUA, BARABARA YA IFAKARA - MLIMBA BADO KIMEO

Magari yakiwa yamekwama katika barabara ya Ifakara - Mlimba mkoani Morogoro. MBALI na mvua kupungua katika maeneo mbalimbali ya nchi, bado hali si nzuri kwa watumiaji wa barabara ya Ifakara kwenda Mlimba mkoani Morogoro baada ya magari kukwama kwenye barabara hiyo ambayo bado imejaa tope. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO NA UNGEPENDA LITOKEE KATIKA TOVUTI HII, TUTUMIE KUPITIA NAMBA YETU… ...

 

9 years ago

Vijimambo

MBIO ZA UBUNGE: LIBERATUS MWANG'OMBE AENDELEA KUWA KIMEO KWA WAGOMBEA WENZAKE

Nyota ya mwana-diaspora kutoka Marekani inaonekana kung'aa kwenye mbio za ubunge mwaka huu. Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" ambaye amekuwa akijizolea umaarufu kila uchao. Mh. Mwang'ombe amekuwa akivunja rekodi kila siku kwa kuwa na mvuto kwenye mikutano yake kuliko mgombea yoyote aliye wahi kutokea kwenye historia ya jimbo la Mbarali.
Mh. Mwang'ombe anaye onekana kuwavutia watu wa rika mbalimbali amekuwa changamoto kwa wagombea wengine ambao kuna baadhi ya maeneo wameshindwa kufanya mikutano...

 

10 years ago

IPPmedia

53 Tanzanians jet in from Yemen.


53 Tanzanians jet in from Yemen.
IPPmedia
The second batch of 53 Tanzanians has arrived in the country yesterday from the war-tone Yemen, making the total number of the returnees to 71 so far. The first batch of 18 Tanzanians arrived in the country April 21, 2015. Speaking when welcoming the 53 ...
50 return from war-torn YemenDaily News

all 3

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani