New Music: Amini — Mbeleko
Wimbo mpya kutoka kwa msanii aliyekuwa Tht kwa takribani miaka Tisa Amini kwasasa yupo na uongozi mpya wa BME,Wimbo unaitwa “Mbeleko” Studio C9 Records Producer Amyz & C9
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lO1nR1WSZXvwcdj99TuuPqxi18MC2wwICQqN7c6Rs1jmUfyu-xLyvbnjg93J25kgBhKSwXWhT6L8jzTJOi16f0xb8TOa5C5-/amini80.jpg)
9 years ago
Bongo523 Nov
Music: Amini – Furaha
![Amini Cover Furaha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Amini-Cover-Furaha-300x194.jpg)
Msanii wa mziki wa bongo fleva Amini ameachia wimbo mpya unaitwa “Furaha”, Producer C9 Kanjeje kwa mawasilinao ya interview 0718366151.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo514 Mar
New Music: Amini Ft Namcy Vanna — Nabaki Nae
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
New Music: Dereva Makini-Banaba, Amini, Dayna & Mr.Blue
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Banaba Boy na Dyna Nyange wamerekodi wimbo wa pamoja kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo unaitwa Dereva Makini umetayarishwa na katika studio za C9.
Kampeni hiyo ya dereva makini imeandaliwa na Transevents Marketing ambao ndio wamiliki wa tovuti ya Kariakoo Digital kwa lengo la kutoa hamasa kwa madereva kuwa makini wanapoendesha magari...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
NEC, Polisi ni mbeleko za CCM
APRILI 6, mwaka huu, kutakuwa na uchaguzi mdogo Jimbo la Chalinze, kuziba nafasi iliyoachwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Said Bwanamdogo, kufariki dunia Januari 22, mwaka huu,...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Usawa wa kijinsia ni mbeleko ya kubeba watu kisiasa?
BINAFSI mimi naamini katika usawa wa binadamu. Ingawa katika kuamini usawa huo natofautiana na wengi kwamba usawa wa binadamu uko katika kutaka yale yote yanayofanywa na jinsia moja yafanywe pia...
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Wamtaka Katibu wa CCM kuacha kumbeba kwa mbeleko Mwigulu Nchemba
Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida David Jairo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya madai yao ya kugomea kuendelea na mchakato wa kura za maoni hadi msimamizi wa uchaguzi ambae ni Katibu wa CCM Wilaya ya Iramba, Mathias Shidagisha aondolewe kwenye zoezi hilo, kushoto ni Amon Gyunda.
Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida, Juma Killimbah, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ofisi za chama cha...
9 years ago
Michuzi23 Nov
11 years ago
CloudsFM20 Jun
New hit: Amini - Asante
Hii ni ngoma nyingine mpya kutoka kwa Amini inatwa Asante imefanyika Njoo studio, ni ngoma nyingine tena ambayo ukiiskiliza utakubaliana namimi kwamba amepiga hatua nyine toka November au December....