Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Amini — Mbeleko

Wimbo mpya kutoka kwa msanii aliyekuwa Tht kwa takribani miaka Tisa Amini kwasasa yupo na uongozi mpya wa BME,Wimbo unaitwa “Mbeleko” Studio C9 Records Producer Amyz & C9

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Amini – Furaha

Amini Cover Furaha

Msanii wa mziki wa bongo fleva Amini ameachia wimbo mpya unaitwa “Furaha”, Producer C9 Kanjeje kwa mawasilinao ya interview 0718366151.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Amini Ft Namcy Vanna — Nabaki Nae

Wimbo mpya kutoka kwa Msanii Amini ameshirikisha Mke wake Farida a.k.a Namcy Vanna wimbo unaitwa “Nabaki Nae” Producer Triss

 

11 years ago

Dewji Blog

New Music: Dereva Makini-Banaba, Amini, Dayna & Mr.Blue

IMG-20140725-WA0006

Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Banaba Boy na Dyna Nyange wamerekodi wimbo wa pamoja kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo unaitwa Dereva Makini umetayarishwa na katika studio za C9.

Kampeni hiyo ya dereva makini imeandaliwa na Transevents Marketing ambao ndio wamiliki wa tovuti ya Kariakoo Digital kwa lengo la kutoa hamasa kwa madereva kuwa makini wanapoendesha magari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC, Polisi ni mbeleko za CCM

APRILI  6,  mwaka huu, kutakuwa na uchaguzi mdogo Jimbo la Chalinze, kuziba nafasi iliyoachwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Said Bwanamdogo, kufariki dunia Januari 22, mwaka huu,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Usawa wa kijinsia ni mbeleko ya kubeba watu kisiasa?

BINAFSI mimi naamini katika usawa wa binadamu. Ingawa katika kuamini usawa huo natofautiana na wengi kwamba usawa wa binadamu uko katika kutaka yale yote yanayofanywa na jinsia moja yafanywe pia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wamtaka Katibu wa CCM kuacha kumbeba kwa mbeleko Mwigulu Nchemba

DAVD JAIRO

Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida David Jairo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya madai yao ya kugomea kuendelea na mchakato wa kura za maoni hadi msimamizi wa uchaguzi ambae ni Katibu wa CCM Wilaya ya Iramba, Mathias Shidagisha aondolewe kwenye zoezi hilo, kushoto ni Amon Gyunda.

KILIMBA

Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida, Juma Killimbah, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ofisi za chama cha...

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

CloudsFM

New hit: Amini - Asante

Hii ni ngoma nyingine mpya kutoka kwa Amini inatwa Asante imefanyika Njoo studio, ni ngoma nyingine tena ambayo ukiiskiliza utakubaliana namimi kwamba amepiga hatua nyine toka November au December....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani