Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja naye ajitosa, amwaga ahadi

SITTA TUMMA NA JOHN MADUHU, MWANZA

IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza nia ya kuwania urais kupitia chama hicho imefikia 11 baada ya Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja naye kujitosa rasmi.

Ngeleja alitangaza nia jana katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) tawi la Mwanza.
Akionekana kubwana na maswali magumu kutoka kwa waandishi wa habari juu ya tuhuma mbalimbali za ufisadi, Ngeleja aliwaahidi Watanzania neema ya maendeleo yatakayotokana na uchumi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Magige Nyerere naye ajitosa kuwania urais



NA KHADIJA MUSSA MTOTO mwingine wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Magige Nyerere, amejitokeza na kuonyesha nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Magige ni mtoto wa pili wa Mwalimu Nyerere kuonyesha nia ya kuwania uras baada ya hivi karibuni Makongoro Nyerere, kutajwa kuwa ni miongoni mwa watu wanaowania nafasi hiyo.  Mke wa Baba wa Taifa, Maria Nyerere amebariki watoto hao kuwania nafasi hiyo na kusema ni raia halali wa Tanzania na...

 

9 years ago

Michuzi

Upendo Nkone naye ajitosa Tamasha la Krismasi

MWIMBAJI maarufu wa muziki wa Injili Tanzania, Upendo Nkone naye amejitokeza kuwa mmoja wa waimbaji watakaofikisha ujumbe wa Shukrani kwa Mungu katika Sikukuu ya Krismasi kupitia tamasha linalotarajia kufanyika Desemba 25 mwaka huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama Kamati imefanikisha makubaliano na mwimbaji huyo.Msama alisema Nkone anaungana na wenzake Rose Muhando, Ephraim Sekeleti...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwigulu amwaga ahadi kibao Kalenga

>Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba jana alizindua kampeni za chama hicho katika Jimbo la Kalenga mkoani hapa kwa kumwaga ahadi za kuwapatia wananchi maji, umeme na mawasiliano ambayo ni changamoto katika jimbo hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

Ngeleja ajimaliza Escrow, Adai hajapokea mgawo peke yake, Naye kigogo Ikulu kula kibano leo.

Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, jana alipanda ‘kizimbani’ mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kujibu malalamiko dhidi yake ya kupokea zaidi ya Sh. milioni 40.4 kutoka kwa mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira, kinyume cha sheria ya maadili na kuliomba baraza hilo kwamba, iwapo litatumia rungu lake kutoa mwongozo wa adhabu, lisianzie kwake, kwani kitendo alichokifanya hufanywa pia na wabunge wengine.

Ngeleja (47), ambaye amewahi pia...

 

9 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?

Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu

Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwa”. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngassa amwaga mboga

Winga wa Yanga, Mrisho Ngassa ni kama amemwaga mboga kwenye klabu hiyo baada ya jana kuiumbua akibainisha masaibu mbalimbali yaliyomfika tangu arejee klabuni hapo akitokea Azam na Simba.

 

10 years ago

GPL

Okwi amwaga chozi akisimulia

Kiungo mshambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi. Musa Mateja na Martha Mboma
KIUNGO mshambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi, ameshindwa kujizuia kumwaga machozi wakati akielezea tukio lake la kupigwa kiwiko ‘pepsi’ na beki Aggrey Morris kuwa ni la kikatili na lingeweza kumsababishia hata ulemavu kwa kuwa baada ya kuanguka alimmalizia kwa kumkita teke. Okwi, raia wa Uganda, ameliambia Championi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbasha amwaga machozi mahakamani

mbashaNa Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya kumbaka mtoto wa miaka 17, jana alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi.
Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake.
Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba (chumba maalumu ambacho waandishi na watu wasiohusika hawaruhusiwi kuingia) haikuweza kujulikana mara moja ni kitu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani