Ngoma: Simba wataisoma
Wachezaji wapya wa Yanga, Mzimbabwe Donald Ngoma na Mghana Joseph Zutah wamesema wamekuja kazini na kuinyamazisha Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Kikwete: Wapinzani wataisoma namba
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Simba, Mtibwa ngoma inogile
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bJubfyXMsOc/default.jpg)
ngoma azipendazo ankal - special request from Ras Makunja wa Ngoma Afrika band, Ujerumani
Simba Wanyika - Halleluja
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?
Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]
The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kSuuiTgwegk/default.jpg)
NGOMA, NGOMA, NGOMA OYEEEE…
Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo mwana Kitoto hufanya ughaibuni. Usiku na mchana. Ninazionea fahari…Miaka mingi wengi wameniuliza watakujaje Majuu. Njia nzuri na rahisi sana ni kufanya mambo ya kwetu. Ngoma ni kitu kinachopendwa na wageni maana ni uhalisia na asili ya Mwafrika.
Juu hapa wanaonekana wanamuziki wawili wa Kitanzania wanaoishi Uingereza. Saidi Kanda na Fab Moses. Fab Moses...
10 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !
![](http://4.bp.blogspot.com/-ORf9Gn6TFdU/VBIA8eWjFyI/AAAAAAAGjAQ/QMKp6Yj33Lc/s1600/download.jpg)
Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...