Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngumi Mburahati waomba uwekezaji

SERIKALI na wadau wa michezo hususan ngumi, wametakiwa kuwekeza katika mchezo huo ili kuleta mageuzi ya kweli kwa manufaa ya vijana wenye vipaji na taifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHAMRASHAMRA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MBURAHATI

Shamra shamra za kampeni za uchaguzi wa serikali  za  mitaa maeneo ya Mburahati. KAMERA ya GPL imeinesa picha ya shamra shamra za kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa eneo la Mburahati, jijini Dar es Salaam. (Habari/Picha: Gabriel Ng’osha/GPL)

 

9 years ago

Bongo5

PNC afungua duka la nguo Mburahati

PNC amedai kuwa licha ya kufanya muziki, pia ni mfanyabiashara ambapo amefungua duka la nguo linalopatikana maeneo ya Mburahati jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Radio wakati akitambulisha wimbo wake mpya, PNC alisema ameshirikiana na rafiki yake kuanzisha duka hilo. “Hii biashara ni ya kwetu mimi na rafiki […]

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKUTANA NA MENEJA WA UWEKEZAJI WA TAASISI YA UWEKEZAJI YA WALLONIA YA UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Uwekezaji wa Taasisi ya Uwekezaji ya Wallonia ya Ubelgiji Bi. Dominique Badot baada ya kumaliza kikao cha maandalizi ya Ziara ya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji inayopangwa kufanyika Tanzania mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

HAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa wa ngumi za Ridhaa pamoja na wadau wengine wa mchezo huo katika Picha ya pamoja, wakati wa hafra hiyo.

Aliyesimama kushoto ni mkurugenzi wa Afrika Mashariki kupitia kinywaji cha Battery Bwana Tony Misokia akiwa anaongea na wananchi walioshiriki katika Hafra hiyo.…

 

11 years ago

Michuzi

YALIYOJIRI KWENYE ONYESHO LA MUZIKI WA SAMBA REGGE NA SAKARASI LILILOFAYIKA MBURAHATI KWA JONGO

Baadhi ya Watoto wakionyesha ujuzi wa kucheza sarakasi kwenye uwanja wa Kasulu, Mburahati kwa Jongo wakati wa onyesho la kuhitimisha warsha ya sarakasi na ngoma za samba regge iliyoandaiwa na kituo cha Baba Watoto kupitia mradi wa Fit For Life.Ngoma za samba regge kutoka Brasili zikichezwa kwenye uwanja wa Kasulu, Mburahati kwa Jongo Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza akitoa hatuba yake kwa wananchi na wapenzi wa muziki na sarakasi waliofika...

 

11 years ago

Michuzi

KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji amewapongeza Wakuu wa Mikoa wa Kanda ya Ziwa katika juhudi zao za kuhakikisha Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa linafanyika.
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...

 

11 years ago

Dewji Blog

Warsha ya muziki wa Samba Regge na Sarakasi kuhitimishwa kesho kwenye Uwanja wa Kasulu, Mburahati kwa Jongo

unnamed

Mkufunzi wa Ngoma za Samba regge, Manni Spaniol akimwelekeza mmoja wa watoto wanaoshiriki warsha ya fit for life iliyoandaliwa na kituo cha Baba watoto cha Mburahati kwa Jongo, Jijini Dar es Salaam.

unnamed (1)

Mkufunzi wa ndani, Mwajabu Omari akimwelekeza namna ya kufanya sarakasi mmoja wa watoto wanaoshirika kwenye warsha ya sarakasi na ngomba za samba regge iliyoandaiwa na kituo cha Baba Watoto.

unnamed (2)

Mafunzo ya Sarakasi.

unnamed (3)

unnamed (4)

unnamed (5)

Wanafunzi na wakufunzi wakifanya mazoezi ya kujiandaa na onyesho la muziki wa...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimsikiliza kwa makini mfanyabiashara wa Kuku katika soko la Mburahati, Mkude Higilo (kulia) wakati alipofanya ziara sokoni hapo kukutana na wafanyabiashara kuzungumzia mradi wa ujenzi mpya wa soko hilo mwishoni mwa wiki, Dar es Salaam. Kulia kwake ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge. Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na mmoja wa wafanyabiashar wa soko la Mburahati wakati wa ziara yake sokoni hapo ambapo alikutana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngumi bungeni

MWENENDO wa Bunge Maalumu la Katiba ambao umekuwa ukionyesha kila dalili za kutokea vurugu kutokana na namna wajumbe wanavyojadili rasimu ya kanuni za Bunge hilo, umedhihirika jana baada ya kuibuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani