Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni fainali ya visasi leo

 Ni fainali ya visasi ya Kombe la Dunia baina ya Argentina na Ujerumani kwenye Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ni fainali ya visasi leo

Ni fainali ya visasi ya Kombe la Dunia baina ya Argentina na Ujerumani kwenye Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivory Coast, DR Congo visasi leo

 Ivory Coast  itashuka uwanjani leo kwa lengo moja la kulipa kisasi dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kutaka kufuzu kucheza  fainali za Afcon mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

WATOTO 15 WATINGA FAINALI ZA SHINDANO LA "MO KIDS GOT TALENT 2013", FAINALI KUFANYIKA LEO JIONI LEDGER PLAZA - BAHARI BEACH‏

Lango kuu la kuingilia kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar panapofanyika shindano kali la kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la "MO Kids Got Talent 2013" Chief Judge wa Shindano la vipaji vya watoto na vijana wadogo la “MO Kids Got Talent”, Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki walioingia semi finals za shindano hilo linalofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza...

 

10 years ago

Mtanzania

Azam ni mwendo wa visasi tu

azamNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

BAADA ya kulipa kisasi dhidi ya timu ya JKT Ruvu kwenye mchezo uliopita, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC wameapa kuendeleza wembe huo watakapoivaa Ndanda FC kesho.

Jumamosi iliyopita Azam iliifunga JKT bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliofanyika Uwanja wa Azam Complex na kulipa kisasi cha kufungwa kama hivyo mzunguko wa kwanza.

Azam itaingia uwanjani kesho ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa na Ndanda bao 1-0, kwenye mchezo wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Fainali ya kombe la F.A kufanyika leo

Timu ya Arsenal ina matumaini ya kumaliza kiu chake cha miaka tisa bila taji lolote itakapochuana na timu ya Hull City

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta na Katiba yake ya visasi

OKTOBA 2, mwaka huu, Bunge Maalum la Katiba, uligeuka ukumbi wa disko kwa muda, ambapo wajumbe waliimba, kucheza kwa kukata mauno, kubebana, kupigana picha za video na mnato, kujitwisha vibakuli...

 

10 years ago

BBCSwahili

Fainali kombe la mapinduzi kupigwa leo

Michuano ya kombe la mapinduzi kufika tamati leo kwa timu za Simba na Mtibwa kucheza mchezo wa fainali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Robo fainali CECAFA kuanza leo

Michezo ya robo fainali ya michuano ya kombe la Cecafa Chalenji Cup itaanza kutimua vumbi leo huko Adis Ababa Ethiopia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani