NI SAFARI YA MIAKA 15 TAMASHA LA PASAKA
“NILIAMUA kuanzisha Msama Promotions baada ya kuona muziki wa Injili umesahaulika na unashuka thamani yake.“Hivyo kwa kushirikiana na wenzangu nikaona ni busara kuuinua ili tuwe kama wenzetu Afrika Kusini ambao wana waimbaji wa nyimbo za Injili wanaotamba kama Rebecca Malope, Itani Madima, Steve Kekane, Vuyo Mokoena na wengine wengi,” hiyo ni kauli ya Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama. Msama ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, anasema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Miaka 14 ya Tamasha la Pasaka
TAMASHA la Pasaka mwaka huu linatarajiwa kufikisha miaka 14 tangu kuanzishwa kwake na Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam. Tangu kuanzishwa kwa tamasha hilo, Watanzania wameweza kujumuika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WEr22rxR-58/VXlojz9WgFI/AAAAAAAC6QM/jxA8BtVFkyc/s72-c/GO9G8667.jpg)
DVD miaka 15 ya Tamasha la Pasaka hadharani
![](http://3.bp.blogspot.com/-WEr22rxR-58/VXlojz9WgFI/AAAAAAAC6QM/jxA8BtVFkyc/s320/GO9G8667.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Tamasha la Pasaka mwaka huu litahusisha michezo pia, linatimiza miaka 15
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo Kinondoni Moroco wakati akielezea maadalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, ambapo amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbajiwa muziki wa injili mbalimbali kutoka hapa nchini na nje ya nchi pia itakuwepo michezo mbalimbali ikiwa pia ni maadhimisho ya miaka 15 toka kuanzishwa kwa tamasha hilo.
Alex Msama akisisitiza jambo katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nLEl9cdSLmI/VNSVp75tk6I/AAAAAAACzeg/VxfTlxruEAc/s72-c/samuel.jpg)
Sitta awapongeza waandaaji wa Tamasha la Pasaka kutimiza miaka 15 tangu kuanzishwa kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLEl9cdSLmI/VNSVp75tk6I/AAAAAAACzeg/VxfTlxruEAc/s1600/samuel.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA KUTIMIZA MIAKA 15 KWA KISHINDO,KUHUSISHA SHUGHULI MBALIMBALI ZA KIJAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s1600/1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama amezungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo kinondoni Moroco hapo jana,kuhusiana na maandalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, Msama amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbaji wa muziki wa ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s72-c/_MG_4711.jpg)
MAANDALIZI YA MIAKA 15 YA TAMASHA LA PASAKA YAENDELEA KUNOGA,BAISKELI 100 KUTOLEWA KWA WALEMAVU MIKOA KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s1600/_MG_4711.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Apr
KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mu4i9qV6CtseExo4S14E9FBdDx5E-RTJ9mPA0B981EEOuuU3JgCFA-h2xtNWQXXAm7Z2tK6HCsSXZZms6zvveMMhOD-H1JmgY6494wyFqSzldt5DiztBYKt9Vy1QzDEJuxUeGhVmQBWcDJ1EcyIq2cCGxHvCgovmtQLE0YaIQbmiX5rplWqp-0tP5F7QuCvMXAkQbSMOrqdavTIZUqzuWgvfHl-S9pPDP0tSQf4Z4ItaKN4uW8ed5DcZZvblwhZhvqUfH6ko2G6FTQftFCef2FTd5oD6sBOcpF91VY02BGsV3xoijj4zDXGRKiGi3IWlMUs_DKktLZtweVOaYSN2RqDMsb7BEP0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-zcKVjNsVVhQ%2FU01Q1lx2slI%2FAAAAAAAAVkM%2FuxQON5LjPVk%2Fs1600%2Fkapotive%2B2000.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tamasha la Pasaka lasifiwa