Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria:Raia watakiwa kuwa waangalifu

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amewataka watu wote nchini Nigeria kuwa waangalifu ili kuepuka mashambulizi ya kigaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ASKARI JWTZ WATAKIWA KULINDA MIPAKA NA RAIA KWA NGUVU NA GHARAMA YEYOTE


Baadhi ya Askari wanafunzi wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakiwa katika eneo la mapigano wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
Baadhi ya Askari NA wanafunzi Kuruta wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakikimbia na na kifaru wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
Mkuu wa shule ya Kihangaiko Kanali Sijaona Myala katikati akishangilia na Kuruti mara baada ya kumaliza zoezi la Mwisho kwa Kuruti hao katika pori la Msata...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yawafurusha raia 500 wa Nigeria

Wahamiaji hao 500 wametimuliwa na maafisa wa Uingereza baada ya kupatikana wakiishi nchini humo kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Raia wa Nigeria wakutwa na milipuko Tanga

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watatu wakiwemo raia wawili wa Nigeria kwa kosa la kukutwa na milipuko nane waliyokuwa wameihifadhi nyumbani kwa mwenyeji wao aliyejulikana kwa jina moja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya

Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia Nigeria walalamikia ‘sheria ya mtandao’

Raia wa Nigeria wamekuwa wakilalamika katika mitandao ya kijamii kupinga mswada wa sheria mpya ambao wanasema lengo lake ni kunyima watu uhuru wa kujieleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Nigeria wapinga posho za wabunge

Raia wa Nigeria wametoa hisia zao za ghadhabu kufuatia ripoti kuwa wabunge kujipa mamilioni ya dola ikiwemo pesa ya mavazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 115 wa Afrika.K walifariki Nigeria

Serikali ya Afrika Kusini inasema watu 115 wengi wao raia wa Afrika Kusini, walifariki baada ya kuporomokewa na kanisa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia Nigeria wapinga posho za wabunge

Wananchi wa Nigeria wawapinga wabunge wao kwa kujinufaisha na fedha za umma kwa kujilipa posho ya maelfu ya dola

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani