Nigeria:Raia watakiwa kuwa waangalifu
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amewataka watu wote nchini Nigeria kuwa waangalifu ili kuepuka mashambulizi ya kigaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s72-c/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
ASKARI JWTZ WATAKIWA KULINDA MIPAKA NA RAIA KWA NGUVU NA GHARAMA YEYOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s640/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
Baadhi ya Askari wanafunzi wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakiwa katika eneo la mapigano wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/wanafunzi-wakikimbia-na-kifaruAAAA.jpg)
Baadhi ya Askari NA wanafunzi Kuruta wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakikimbia na na kifaru wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/kanali-myala-na-wanafunziAAA-1024x473.jpg)
Mkuu wa shule ya Kihangaiko Kanali Sijaona Myala katikati akishangilia na Kuruti mara baada ya kumaliza zoezi la Mwisho kwa Kuruti hao katika pori la Msata...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Uingereza yawafurusha raia 500 wa Nigeria
Wahamiaji hao 500 wametimuliwa na maafisa wa Uingereza baada ya kupatikana wakiishi nchini humo kinyume cha sheria.
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Raia wa Nigeria wakutwa na milipuko Tanga
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watatu wakiwemo raia wawili wa Nigeria kwa kosa la kukutwa na milipuko nane waliyokuwa wameihifadhi nyumbani kwa mwenyeji wao aliyejulikana kwa jina moja...
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya
Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Raia Nigeria walalamikia ‘sheria ya mtandao’
Raia wa Nigeria wamekuwa wakilalamika katika mitandao ya kijamii kupinga mswada wa sheria mpya ambao wanasema lengo lake ni kunyima watu uhuru wa kujieleza.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Raia wa Nigeria wapinga posho za wabunge
Raia wa Nigeria wametoa hisia zao za ghadhabu kufuatia ripoti kuwa wabunge kujipa mamilioni ya dola ikiwemo pesa ya mavazi.
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Raia 115 wa Afrika.K walifariki Nigeria
Serikali ya Afrika Kusini inasema watu 115 wengi wao raia wa Afrika Kusini, walifariki baada ya kuporomokewa na kanisa Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Raia Nigeria wapinga posho za wabunge
Wananchi wa Nigeria wawapinga wabunge wao kwa kujinufaisha na fedha za umma kwa kujilipa posho ya maelfu ya dola
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania