Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yawafurusha raia 500 wa Nigeria

Wahamiaji hao 500 wametimuliwa na maafisa wa Uingereza baada ya kupatikana wakiishi nchini humo kinyume cha sheria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia 30 wa Uingereza wauawa Tunisia

Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia

 

9 years ago

BBCSwahili

Mpiganaji wa IS raia wa Uingereza auawa.

Marekani imesema mpiganaji wa Kiingereza, ambaye alijiunga na kundi la Islamic State ameuawa katika shambulio la anga nchini Syria

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 30 wa Uingereza waliuawa Tunisia

Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia

 

10 years ago

StarTV

Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya


Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya

Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.

Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.

Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.

Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa Scotland wakataa kujitenga na Uingereza

Scotland imefanya uamuzi wa mwisho wa kuendelea kuwa sehemu ya Uingereza ,kwa maamuzi ya kura ya maoni ambapo asilimia 55 ya raia wake kwa pamoja wamekataa uhuru wa moja kwa moja wa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti kuchukua kazi za raia Uingereza

Zaidi ya thuluthi moja ya ajira nchini Uingereza ziko katika hatari ya kuchukuliwa na roboti katika kipindi cha miaka 20 ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uingereza auawa Sudan Kusini

Muingereza mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Juba nchini Sudan Kusini.

 

11 years ago

GPL

Kocha raia wa Uingereza aipa Yanga mbinu za kuing’oa Al Ahly

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall, raia wa Uingereza, ameibuka na kuielekeza Yanga cha kufanya kama kweli inataka kuiondoa Al Ahly ya Misri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga inatarajiwa kuumana na mabingwa hao watetezi kwenye mchezo wa hatua ya pili ya michuano hiyo baada ya kuifunga Komorozine ya Comoro kwa jumla ya...

 

10 years ago

BBC

Nigeria denies 500 children abducted

Nigeria's government denies that militant Islamists abducted 500 children from a trading town in the north-east, saying the number is lower.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani