Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ninakunywa pombe na kulala bar kwasababu nina pesa — Mr Nice

nice

Msanii ambaye yuko kwenye orodha ya wasanii wakubwa wa Tanzania waliowahi kufanya vizuri sana miaka ya nyuma, Lucas Mkenda maarufu kama Mr Nice amethibitisha kwamba ni kweli huwa anakunywa pombe na kulala bar.

nice

Akiongea na Planet Bongo ya EATV amesema watu wanaosema kuwa amefulia ni waongo tu na kuhusu tetesi kuwa ni mlevi wa kutupwa na analala Bar, Mr Nice ameweka wazi kuwa yeye anakunywa na kulala Bar sababu ana pesa za kuweza kufanya hivyo na anakunywa mpaka pale anapotosheka.

Mkali huyo...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nimeshauriwa na Zitto nisiache kazi ya muziki kwasababu Udiwani hauna pesa – Baba Levo

Baba Levoooo_full

Msanii wa muziki na mchekeshaji, Baba Levo ambaye sasa ni Diwani wa Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma, amebadili uamuzi aliopanga kuuchukua baada ya kushinda nafasi hiyo ya kuwatumikia wananchi, ambao ni kuacha kufanya muziki.

Baba Levoooo_full

Uamuzi wa kuendelea na kazi ya muziki huku akiwa Diwani umetokana na ushauri aliopata kutoka kwa Mbunge wa Kigoma Mjini mhe. Zitto Kabwe.

Baba Levo ameiambia Bongo5 kuwa Zitto amemshauri asiache kufanya kazi yake ya muziki kwasababu udiwani sio ajira ya kutegemea...

 

9 years ago

TheCitizen

I will sleep in the bar drinking, says Tanzania’s Mr. Nice

Tanzanian musician, Mr. Nice, has defended his drinking habit by telling critics that he will drink as much as his wants, even if it means  sleeping at the bar.

 

10 years ago

Vijimambo

MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO

Mpenzi wa mwanzilishi wa style ya ‘Takeu’ Lucas Mkenda aka Mr Nice, amejifungua mtoto wa kike na kupewa jina la Nicole.
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.

 

5 years ago

Michuzi

TAAnet YAISHAURI SERIKALI BAR NA VILABU VYA POMBE KUFUNGWA WAKATI HUU WA MAPAMBANO NA MARADHI YA COVID-19

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Mtandao wa Wadau wanaopambana na unywaji pombe kupita kiasi–TAAnet wameishauri serikali kutoa tamko la kufunga bar na klabu zote za pombe ili kudhibiti unywaji wa pombe na kuleta madhara makubwa kwa
binadamu ikiwemo kushusha kinga za mwili.

Hayo yamesemwa na mtandao huo wa TAAnet wakiungana kwa pamoja na serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya korona na kutambuliwa kama covid-19.

Katibu wa TAAnet Gladness...

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

10 years ago

Raia Mwema

10 years ago

GPL

WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...

 

10 years ago

Bongo5

Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani