Ninampenda dada yangu, hii imekaaje?
Shikamoo shangazi mkubwa. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27. Nimetokea kumpenda dada yangu mtoto wa mama yangu mdogo. Nafikiri Mungu akipenda nitamuoa huko baadaye
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U8Clxf4GuKs/VL5-94e6e-I/AAAAAAAG-hY/knMqbAt37j4/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
ETI HII IMEKAAJE??
Nawasilisha picha mbili zilizopigwa kutoka Mazengo Street, Upanga (Chibuku, Faya),maana naona hawa Jamaa wa RAPID wanatupotosha na tukikosea trafiki wanatupiga faini. Tufanyeje?
![](http://3.bp.blogspot.com/-U8Clxf4GuKs/VL5-94e6e-I/AAAAAAAG-hY/knMqbAt37j4/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Lulu: Nampenda Wema kama dada yangu
NA THERESIA GASPER
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepetu, utakuwa umekosea, kwani hakuna ugomvi kati yao.
Lulu alieleza kwamba wamekuwa wakishirikiana na Wema Sepetu katika mambo mbalimbali, ikiwemo sherehe, misiba na mijumuiko mbalimbali.
“Nampenda Wema kama dada yangu na yeye ananipenda vile vile, nimekuwa nikihudhuria kwenye shughuli mbali mbali ambazo zinamhusu, nilishiriki vema katika msiba wa baba yake na sherehe zake...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4pHIF-fYcjo/VTsGylOWJ9I/AAAAAAADkFI/mtJ88q2-7Pc/s72-c/11145227_653978018035990_6645006429386704760_n.jpg)
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Tano bora yangu ya CCM ni hii
KAMA ningekuwa ni miongoni mwa wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), basi ningehaki
Lula wa Ndali Mwananzela
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Hii ndiyo siri yangu-Mzee Yusuph
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Kwa katiba hii kura yangu ni hapana
BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba, nimejiridhisha kwamba nikizingatia mimi ni mkweli na nina uhuru wa kupiga kura ya maoni, ya kwangu ni “hapana, hapana, hapana”....
9 years ago
Bongo528 Oct
Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Dk. Magufuli: “ Ziara yangu ya kushtukiza Wizara ya Fedha, imenisaidia kujua changamoto zinazoikabili wizara hii”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile alipotembelea ofisi za Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipata ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile wakati wa ziara hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na uongozi wa Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri wa Muungano...
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...