Ningekuwa Zitto, ningepokea posho
SAKATA la posho linazidi kuchukua sura mpya kila kukicha. Safari hii limekuja katika namna isiyotarajiwa, hasa baada ya kuzuka kwa tuhuma kwamba baadhi ya wabunge wamekuwa wakichukua posho za safari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ningekuwa mimi mgombea, ningewalipia wote nauli na posho ili waweze kwenda kupiga kura
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3zYYVjghZOfLVgRfzlm4GzAMl8Iu2mj8-zSfqtNR2pCIB7XuhP6ISBD9gOgV4pW4PDP7BCw4-ku6eBbqggqPFsD/zkwasanii2.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI ZITTO KABWE, NINGETAZAMA UPYA NYENDO ZANGU
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe. Kwako Zitto Zuberi Kabwe.
Siku nyingi zimepita tangu tulipoonana mara ya mwisho, siku uliyokuja kutembelea chumba chetu cha habari. Natamani kukutana nawe tena ili nikufikishie ujumbe huu lakini kwa sababu ya ubize ulionao, nadhani itakuwa ngumu! Acha nikufikishie nilichotaka kukwambia kupitia ukurasa huu. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Septemba 24, 1976 huko Kigoma kama wewe. Wala...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbInsB5bPTeKPqhD-lx8I5XDcvisLnWMVXZvcVDCVp-BSEuKBcxmGMSG0*t1E7JFVoGudwJkzBZ-5MPR4cuTi2f/HAWAGHASIA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- tamisemi), Hawa Abdulrahman Ghasia. Kwako Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- tamisemi), Hawa Abdulrahman Ghasia. Ni matumaini yangu kwamba bado upo kwenye wakati mgumu kutokana na madudu yaliyotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha sehemu nyingine uchaguzi uahirishwe kutokana na dosari za...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI CHENGE, NISINGESUBIRI KUWAJIBISHWA
Andrew Chenge. Kwako Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Najua hunifahamu na hakuna mazingira yanayoweza kutukutanisha pamoja lakini hiyo hainizuii kukufishia ujumbe wangu kwako, najua ‘utamaindi’ lakini ni lazima nikwambie kwa faida yako na ya Watanzania. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Desemba 24, 1947 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Zagayu kama wewe. Sikusoma Sekondari ya St. Mary’s Junior...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0cRTBSeQO8OJUWuUXZFzYI1zMbQsVb68iarx5LB825cPMzddWWNd40f5dK00Iri5x8eYPDeq4J2qwf9XXGseEM/LINEX.jpg)
LINEX: NISINGEKUWA MWANAMUZIKI NINGEKUWA ASKARI
Makala: SHANI RAMADHANI
MWANAMUZIKI mahiri wa muziki w Bongo Fleva nchini, Sande Mangu ‘Linex’ au ‘Voa’ amesema kabila lake linamsababisha kupata ‘tone’ ambayo mtu mwingine hana na kuna baadhi ya wasanii ambao wanatamani wawe wanajua lugha za kwao. Host wa kipindi cha Mtu Kati cha Global TV…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2I6ALl56YDtHdHhlsGcMl9HFSUiM9lZkkPCFAaZ9Us7FL6V7UEPhGg7CuELPiBw8WPgMsSzRSX-B75*oNTxt7yQ/SteveNyerere.jpg?width=650)
STEVE: KAMA SI USANII NINGEKUWA MAHAKAMANI
Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Stori: Imelda Mtema
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kama asingekuwa msanii basi angekuwa mfanyakazi wa mahakama. Akistorisha na paparazi wetu juzikati, Steve Nyerere alisema kuwa kila msanii anatakiwa kujiuliza kama siyo kazi ya usanii angekuwa anafanya kazi gani lakini kwa upande wake yeye angekuwa mfanyakazi wa mahakama kwani anaipenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX04vVOFpopS*-4MwM5TAOOYkg2D2ISC7JdmSgEvcE5hE-gVDRMTq-o31Jx5aHYXjJnirPMdVLpe7DFxmg1IBPNm/RECHO.jpg?width=650)
RECHO HAULE: NINGEKUWA NA MIMBA, NINGEJIRUSHA?
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho,’ ameendelea kusisitiza kuwa hana ujauzito akidai kama angekuwa nao asingejirusha kwenye viwanja vya starehe. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho,’. Recho alitoa kauli hiyo juzikati baada ya mwandishi wetu kumuuliza kuhusu ujauzito wake ambao unadaiwa ni mkubwa, akachomoa na kusema hana. “Sasa hiyo mimba tangu nimeanza kuambiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania