Nini kipo nyuma ya Escrow?
BUNGE la bajeti lililomaliza vikao vyake jana mkoani Dodoma, ununuzi wa Kampuni ya IPTL kwenda kwa Kampuni ya PAP ambayo ilipewa sh. bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow zilizohifadhiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg8RrkpbND0Fiisf-x0Kvr6oJr*BvjJRZkfhwh3FOqWcEBClPgBQyWDlscFZFCuCDjFWrAC5Ws3mYuTknAixB6lX/BARUANZITO.jpg)
EMMANUEL, FLORA MBASHA NINI KIPO NYUMA YENU?
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Mtanzania unafanya nini sakata la Tegeta Escrow?
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s72-c/shehe.jpg)
MTABIRI: KIFO CHA MGOMBEA URAIS KIPO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s640/shehe.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ofHYgy8S4w/Xl0ywf9p5KI/AAAAAAALgbs/P7hLUU0cyNYgIfSDaAxWdBKbGZU4EgKKACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200302_130252_7.jpg)
MPOGOLO -WANAOPIMANA UBAVU NA JPM WAMECHEMSHA NA CHAMA KIPO IMARA HAKIJATIKISIKA
NAIBU Katibu Mkuu Taifa,CCM Rodrick Mpogolo ,amewapa salamu wapinzani wa ndani ya Chama ama wa Vyama vingine vya upinzani wamuache Rais dk.John Magufuli afanye kazi na amewashangaa wanaojaribu kupimana nae ubavu ,wajue wamechemsha.
Pamoja na hilo ,ameeleza mabalozi wa chama ndio mpango mzima na mashina ndio nguvu ya chama hivyo kuna kila sababu ya kuwaheshimu na kuwathamini mabalozi hao katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akizungumza katika mkutano mkuu wa Jimbo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HKg2DPxjAbw/XrFjy5ugzuI/AAAAAAAAJTA/WlVv-Y-BJMwAELzq3pcgcgjkmQMhpr2eQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200505_104928_281.jpg)
KIWANDA CHA A TO Z KIPO MBIONI KUTENGENEZA VAZI LA WATAALAMU WA AFYA LA KUJIKINGA NA MAGONJWA YA MLIPUKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HKg2DPxjAbw/XrFjy5ugzuI/AAAAAAAAJTA/WlVv-Y-BJMwAELzq3pcgcgjkmQMhpr2eQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200505_104928_281.jpg)
amanda wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akipokea barakoa 2000 kwa ajili ya Jeshi la Polisi mkoani Arusha zilizotolewa na Kampuni ya A to Z ya mkoani hapa ikiwa ni kuendeleza Juhudi za Serikali kwenye mapambano dhidi ya Ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-sXwO1GoPNbk/XrFkIFaRLqI/AAAAAAAAJTM/KqL7gsVXrwcq45ggeNF24jmYz9uK6qOVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200505_104310_587.jpg)
Viongozi wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wakifuatilia hafla ya kupokea vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 iliyofanyika kwenye Ukumbi wa...
9 years ago
Bongo528 Sep
Kitabu kipya cha Harry Porter kipo njiani, kitakuwa cha bure
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NXjUhqfULt0/VLoiFdNvj-I/AAAAAAAG99I/PdVYeSTSG2A/s72-c/j1.jpg)
kitabu cha Padre Privatus Karugendo cha "Mazungumzo na January Makamba kuhusu Tanzania Mpya" kipo mitaani
![](http://2.bp.blogspot.com/-NXjUhqfULt0/VLoiFdNvj-I/AAAAAAAG99I/PdVYeSTSG2A/s1600/j1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gn-hyrfIypk/VLoiEaXKHbI/AAAAAAAG988/ebVwh0ydXt8/s1600/j3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1kh4f9H3zWs/VLojeAi65wI/AAAAAAAG99U/bWQtKTp9ASc/s1600/kitabu.png)
9 years ago
Habarileo30 Nov
‘Hatutarudi nyuma kukabili maovu’
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi kinatumika kwa maslahi ya Watanzania wote na si kwa manufaa ya wachache. Aidha, amesema watu wanaoamini kuwa uongozi wao na Rais John Magufuli hauwezi kupambana na maovu na kuondoa kero zinazowaumiza wananchi wa kawaida na kwamba utawala wao ni wa watu wapole, waondoe dhana hiyo.
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Kamata, shika nawe nyuma!
UKIWAANGALIA Watanzania wa leo, fikra, nyuso na hisia zao, utaona wazi kuwa iko kiu ya kutaka mabadiliko. Wamechoka na mazoea waliyokuwa nayo, ambayo yanaendelea kuwafanya wawe dhalili.
Kila mtu anatamani mambo yaachwe kuwa na hali ilivyo sasa, anatamani yachukue mkondo mpya na njia mbadala inayoweza kuwa na matumaini. Katika hali hii, unatarajia kuwa wao ndiyo wawe chemchem na chachu ya mbadiliko.
Bahati mbaya kwetu ni kwamba, tunataka na kutamani mabadiliko lakini hatuko tayari...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10