Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hatutarudi nyuma kukabili maovu’

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi kinatumika kwa maslahi ya Watanzania wote na si kwa manufaa ya wachache. Aidha, amesema watu wanaoamini kuwa uongozi wao na Rais John Magufuli hauwezi kupambana na maovu na kuondoa kero zinazowaumiza wananchi wa kawaida na kwamba utawala wao ni wa watu wapole, waondoe dhana hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Kuhamahama hurudisha nyuma maendeleo’

Wafugaji wa kitongoji cha Kwebamba, katika Jimbo la Uchaguzi la Bumbuli, wilayani Lushoto, wameanza kutumia mifugo yao kama chachu ya kujiletea maendeleo katika kitongoji chao na kuacha tabia ya kutegemea Serikali na kuhamahama kama ilivyokuwa hapo awali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nini kipo nyuma ya Escrow?

BUNGE la bajeti lililomaliza vikao vyake jana mkoani Dodoma, ununuzi wa Kampuni ya IPTL kwenda kwa Kampuni ya PAP ambayo ilipewa sh. bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow zilizohifadhiwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kamata, shika nawe nyuma!

UKIWAANGALIA Watanzania wa leo, fikra, nyuso na hisia zao, utaona wazi kuwa iko kiu ya kutaka mabadiliko. Wamechoka na mazoea waliyokuwa nayo, ambayo yanaendelea kuwafanya wawe dhalili.

Kila mtu anatamani mambo yaachwe kuwa na hali ilivyo sasa, anatamani yachukue mkondo mpya na njia mbadala inayoweza kuwa na matumaini. Katika hali hii, unatarajia kuwa wao ndiyo wawe chemchem na chachu ya mbadiliko.

Bahati mbaya kwetu ni kwamba, tunataka na kutamani mabadiliko lakini hatuko tayari...

 

9 years ago

GPL

LOWASSA, SUMAYE NYUMA YA PAZIA

Na Mwandishi Wetu WAKATI jana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikitikisa Jiji la Dar kwa kuanza kampeni za uchaguzi mkuu, Oktoba 25, mwaka huu, nyuma ya pazia ya tukio la Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kuhama chama hicho kwenda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kumeibuka mambo kibao, Uwazi limebainishiwa.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1NR00K6 ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani yupo nyuma ya UDA?

WIKI iliyopita serikali ilitoa tamko bungeni kuwa hisa za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hazijauzwa popote na bado ni mali yake hadi sasa ingawa Kampuni ya Simon Group,...

 

11 years ago

GPL

FREEMASON NYUMA YA AJALI YA BASI LA SUMRY

Stori: MWANDISHI WETU IMANI ya kuabudu inayotiliwa shaka duniani ya Freemason imetajwa kuwa nyuma ya pazia la ajali mbaya ya Basi la Sumry iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 19, wakiwemo polisi wa usalama barabarani wanne. Basi la Sumry lililopata ajali mbaya iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita. Habari za...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kurudi nyuma si kujisalimisha ni kujipanga

>Wakati Serikali ilipotangaza nia ya kuanza mchakato wa mabadiliko ya Katiba, wananchi wengi walifurahia wakijua kuwa angalau sasa yale matatizo ambayo yamekuwa yakihusishwa na udhaifu wa nyaraka hiyo muhimu yataisha.

 

10 years ago

GPL

MTOTO AZALIWA BILA UBONGO WA NYUMA!

Na Haruni Sachawa
NImaajabu! Mwanamke mmoja, Diana Dioniz  mkazi wa Magomeni Makuti jijini Dar es Salaam, ameangua kilio cha kuomba msaada baada ya mtoto wake aliyezaliwa mwaka mmoja uliopita kugundulika kuwa hana ubongo wa nyuma (medulla oblongata), hali inayosababisha shingo kulegea na macho kutoona. Mtoto anayedaiwa kuzaliwa bila ya ubongo wa nyuma(medulla oblongata). Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake, Diana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani