‘Hatutarudi nyuma kukabili maovu’
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi kinatumika kwa maslahi ya Watanzania wote na si kwa manufaa ya wachache. Aidha, amesema watu wanaoamini kuwa uongozi wao na Rais John Magufuli hauwezi kupambana na maovu na kuondoa kero zinazowaumiza wananchi wa kawaida na kwamba utawala wao ni wa watu wapole, waondoe dhana hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jul
‘Kuhamahama hurudisha nyuma maendeleo’
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Nini kipo nyuma ya Escrow?
BUNGE la bajeti lililomaliza vikao vyake jana mkoani Dodoma, ununuzi wa Kampuni ya IPTL kwenda kwa Kampuni ya PAP ambayo ilipewa sh. bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow zilizohifadhiwa...
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Kamata, shika nawe nyuma!
UKIWAANGALIA Watanzania wa leo, fikra, nyuso na hisia zao, utaona wazi kuwa iko kiu ya kutaka mabadiliko. Wamechoka na mazoea waliyokuwa nayo, ambayo yanaendelea kuwafanya wawe dhalili.
Kila mtu anatamani mambo yaachwe kuwa na hali ilivyo sasa, anatamani yachukue mkondo mpya na njia mbadala inayoweza kuwa na matumaini. Katika hali hii, unatarajia kuwa wao ndiyo wawe chemchem na chachu ya mbadiliko.
Bahati mbaya kwetu ni kwamba, tunataka na kutamani mabadiliko lakini hatuko tayari...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi6598EYmJ8qGWeRAYzAVKDp8wz9W24s7DIF7meX2SGyDYjb2NYHSmPp7UHXgXr*0CpTOqAPu3qnVc2*P4Wd2toh5/Lowassa.gif?width=650)
LOWASSA, SUMAYE NYUMA YA PAZIA
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Nani yupo nyuma ya UDA?
WIKI iliyopita serikali ilitoa tamko bungeni kuwa hisa za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), hazijauzwa popote na bado ni mali yake hadi sasa ingawa Kampuni ya Simon Group,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3cUdI0ytZtKjnGKlPJilJINpl3ZCfTDcnhzhgejDg4z1xN09zF2U8at0wHtqrzAY-S4TWiL0dT6k3pW7WADJjnp/freemason.jpg?width=650)
FREEMASON NYUMA YA AJALI YA BASI LA SUMRY
10 years ago
Mwananchi14 Mar
MAONI: Kurudi nyuma si kujisalimisha ni kujipanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLKrbTsLCIdL2Av5cPR5*HQMbXYwanimjTvxrekfSRdJwvQllV*PIVNAWWd1KCYqyQ*jmQxsGCcG7bfuln1S4SD/d.jpg?width=650)
MTOTO AZALIWA BILA UBONGO WA NYUMA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvEF-A7tDHTxc2GD5mXfyfVo9SzDaAQsDPpX1GgDUfbHbRVknCb7oZCI2EDSAeajT1dM2GD6cuT9N1nEHhnEVssc/1.jpg?width=650)