MPOGOLO -WANAOPIMANA UBAVU NA JPM WAMECHEMSHA NA CHAMA KIPO IMARA HAKIJATIKISIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ofHYgy8S4w/Xl0ywf9p5KI/AAAAAAALgbs/P7hLUU0cyNYgIfSDaAxWdBKbGZU4EgKKACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200302_130252_7.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
NAIBU Katibu Mkuu Taifa,CCM Rodrick Mpogolo ,amewapa salamu wapinzani wa ndani ya Chama ama wa Vyama vingine vya upinzani wamuache Rais dk.John Magufuli afanye kazi na amewashangaa wanaojaribu kupimana nae ubavu ,wajue wamechemsha.
Pamoja na hilo ,ameeleza mabalozi wa chama ndio mpango mzima na mashina ndio nguvu ya chama hivyo kuna kila sababu ya kuwaheshimu na kuwathamini mabalozi hao katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akizungumza katika mkutano mkuu wa Jimbo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s72-c/24.jpg)
KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s1600/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hxJZmCQYTkY/VLqt6wm1XWI/AAAAAAAAVs8/305rw5tkR-A/s1600/25.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u-c0i4YStOA/VLqt8EHw92I/AAAAAAAAVtI/U54sGGxCCbo/s1600/28.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iNRKN4mfkJs/VLqt99GCV1I/AAAAAAAAVtY/s8ZrDk_y5Xw/s1600/30.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aOTvFtETaHk/VLquDL741hI/AAAAAAAAVt4/OaEPL04GGt0/s1600/37.jpg)
5 years ago
MichuziCWT IKUNGI YAWARUDISHA TENA VIONGOZI WAKE,DC MPOGOLO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Wilaya ya Ikungi mkoani Singida jana. kushoto ni Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe na kulia ni Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu.
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo na kushoto ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Winfrida Kunto.
Mwenyekiti Mpya wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Q87OQdumM1g/XtvnqatRawI/AAAAAAABMT8/B6S6rUilpC0VTUgG-jEZrD4D6CKcbQ6VQCLcBGAsYHQ/s72-c/EZ2Tso8XsAAaTHy.jpeg)
MPOGOLO: WABUNGE, MADIWANI WALIOSHINDWA KUWAJIBIKA KWA WAPIGA KURA WAO HAWATAPITISHWA KUGOMBEA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q87OQdumM1g/XtvnqatRawI/AAAAAAABMT8/B6S6rUilpC0VTUgG-jEZrD4D6CKcbQ6VQCLcBGAsYHQ/s400/EZ2Tso8XsAAaTHy.jpeg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa wabunge na madiwani walioshindwa kuwajibika kwa wapiga kura wao, hawatapitishwa tena katika mchakato wa uchaguzi mwaka huu. Msimamo huo ulitolewa juzi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo akiwa wilayani Korogwe mkoani Tanga.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Nini kipo nyuma ya Escrow?
BUNGE la bajeti lililomaliza vikao vyake jana mkoani Dodoma, ununuzi wa Kampuni ya IPTL kwenda kwa Kampuni ya PAP ambayo ilipewa sh. bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow zilizohifadhiwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s72-c/shehe.jpg)
MTABIRI: KIFO CHA MGOMBEA URAIS KIPO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s640/shehe.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg8RrkpbND0Fiisf-x0Kvr6oJr*BvjJRZkfhwh3FOqWcEBClPgBQyWDlscFZFCuCDjFWrAC5Ws3mYuTknAixB6lX/BARUANZITO.jpg)
EMMANUEL, FLORA MBASHA NINI KIPO NYUMA YENU?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-5pySBOR0S0lnWdIgA0ybKLLubdz9LklRY4bkSEMz74sQNs91kVLRVRwzzPYaWi4fi2sUVB23SXwphOvTxuGI87/mastaa.jpg?width=650)
MASTAA NA UBAVU WAO
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Etoile na Yanga kupimana ubavu
10 years ago
Habarileo12 Aug
Twiga kupimana ubavu na Kenya
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars), inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na wenzao wa Kenya (Harambee Starlets) Agosti 23, 2015.