NJIA 12 ZA UHAKIKA ZA KUPATA MTAJI WA BIASHARA YAKO
![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2Z4X4nsaqK2WWKPUQu6DWYe6hXUv-BGN1-dIJWkaJXhh9FIUiA6XUQPYHyDoJ8G0msPTcI3EOlv4neaM2tS7R90/JAMES.jpg)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d7P28OdIsnU8VPAY3Ou2ln0yDMGJY-5xKclgGQhltQN4IJDeRgI9uQwtCl27-4MCu01vlrKunK64F7wkwj7cvJ9/seedmoney.jpg?width=650)
NJIA ZA UHAKIKA ZA KUPATA MTAJI WA KUANZISHA BIASHARA-10
Wiki iliyopita niliishia kuelezea jinsi nilivyokuwa na uwezo wa kuwasiliana vizuri na mtu mmojammoja au kikundi cha watu kwenye mikutano kwa lugha zote mbili, Kiswahili na Kiingereza bila hofu wala kubabaika. Sasa endelea....... Watu wakaanza kuniuliza niliwezaje kufanya hivyo, hiyo ikanipa msukumo kuanzisha biashara yangu ya kwanza kabisa ya kituo cha kuwafundisha watu wazima Lugha ya Kiingereza (English courses).
Kwa kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZbmUuRiogWlql36YJS9hbkXVNuMd4JopfI5pEoTvwOSCEfQy2RACiQzwZml7kRWk0mpGPaIsBosdNxxVmQbqM4/money.jpg)
NJIA ZA UHAKIKA ZA KUPATA MTAJI WA KUANZISHA BIASHARA-5
UZA RASILIMALI ZAKO UPATE KIANZIO
Kuna watu wengi sana wanasema kuwa hawana mtaji leo hii wakati wamekalia utajiri majumbani mwao.
Hii inatokea kwa kuwa mjasiriamali husika hajaambiwa au yeye mwenyewe hajakaa chini na kufikiri kwa makini. Ukweli ni kwamba kazi ya kufikiria ndiyo kazi ngumu kuliko zote duniani! Mwandishi wa Hadithi ya ‘Acres of Diamond’ (Ekari za Almasi), Russell H. Conwell, ambaye alizunguka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fDbPwrY2UuouF-4am*vtP2VQ6wfyVYW6tJGIIPIobItWCUZ-5btwe1NgCqK3IIYbLRgQXruwpoXS2YwrNxg6vL/PicMonkeyCollage.jpg?width=650)
NJIA ZA UHAKIKA ZA KUPATA MTAJI WA KUANZISHA BIASHARA-7
Tunaendelea na mada yetu ya kujadili njia za uhakika za kupata mtaji wa kuanzisha biashara. Tumeshajadili mbinu tatu: Kuweka akiba, kutafuta kipato cha ziada na kuuza rasilimali zako ili upate kianzio. Leo tunaendelea na njia ya nne. OMBA MSAADA KWA NDUGU, JAMAA AU MARAFIKI
Wakati mwingine, njia pekee ya kuweza kutoka maishani ni kwa kupitia mtandao wa watu wanaokuzunguka. Ndiyo maana kuna usemi maarufu katika lugha ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-w4y6r-QHQLA/VakcmvBf6wI/AAAAAAAHqRY/lh9H4A9HwvM/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Chato, Biharamulo kupata umeme wa uhakika kuanzia Jumapili
Na Teresia Mhagama Imeelezwa kuwa Wilaya za Chato na Biharamulo zitaanza tena kupata umeme wa uhakika ifikapo Jumapili ya tarehe 19 Julai, 2015 baada ya kukamilika kwa ukarabati wa mtambo wa umeme wa kilowati 650 unaohudumia wilaya hizo. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Kagera na kujionea maendeleo ya ufungaji wa mtambo huo wa pili uliofungwa wilayani Biharamulo ambao ulianza kufanya kazi mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji
Wengi huamini kuwa lazima uwe na fedha ndiyo uanzishe biashara na ndiyo sababu yao kuu ya kukaa bila kujishughulisha. Ukweli ni kwamba mtaji ni moja ya kitu muhimu katika kuanzisha biashara, lakini kuna aina ya biashara ambazo zinahitaji gharama ndogo kuanzisha na kukupelekea kupata faida kubwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ET9cLUGnYg0/XlbMR-ZhGiI/AAAAAAALfoM/aa6W8SSfZe4hRrS4ys8gJ0RnnkEmiy2twCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0023-1-1024x768.jpg)
CHAURU YATARAJIA KUPATA SOKO LA UHAKIKA MSIMU HUU MPYA-CHACHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ET9cLUGnYg0/XlbMR-ZhGiI/AAAAAAALfoM/aa6W8SSfZe4hRrS4ys8gJ0RnnkEmiy2twCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0023-1-1024x768.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI
CHAMA Cha Ushirika wa Wakulima wa Umwagiliaji Mpunga Ruvu (CHAURU) ,uliopo Ruvu ,Chalinze mkoani Pwani ,kinatarajia kuondokana na kilio cha ukosefu wa soko la uhakika la mchele ,katika msimu wa mavuno 2020/2021 baada ya kupatikana mnunuzi kutoka nchini Uholanzi.
Aidha ushirika huo ,unalenga kuzalisha na kuinua mavuno kwa wakulima wake kutoka tani 4,700 walizopata msimu uliopita na kufikia tani 5,500 kwa mwaka huu.
Akielezea malengo ya msimu mpya wa kilimo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iWV6MCJ-zsU/VJf0nmYd82I/AAAAAAAG5AE/mYvsZhM5HEc/s72-c/2.jpg)
Airtel yawapatia kundi la walemavu mtaji na mafunzo ya biashara
![](http://1.bp.blogspot.com/-iWV6MCJ-zsU/VJf0nmYd82I/AAAAAAAG5AE/mYvsZhM5HEc/s1600/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Maridhiano muhimu kupata Katiba Mpya, nchi bora, imara na yenye ustawi wa uhakika
BAADHI ya Watanzania wanaamini kwamba kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini mwetu kwa hivi sasa, ipo haja ya kuwa na maridhiano kati ya wanasiasa wetu na vilevile makubaliano kati ya watawala na watawaliwa juu ya jinsi watawaliwa wanavyotaka watawala waendeshe nchi na mambo yao, kwa manufaa ya watawaliwa na siyo watawala peke yao.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s72-c/12.jpg)
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s1600/12.jpg)
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania