Njia alizopita Lowassa kufika Chadema
EDWARD Lowassa, aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania na mmoja wa vigogo wa Chama Cha Mapinduzi
Ahmed Rajab
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
WAFUASI WA CHADEMA MARUFUKU KUFIKA MAHAKAMANI

Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho...
10 years ago
Mwananchi29 Jul
LOWASSA CHADEMA: Fitina zimempeleka Lowassa upinzani
11 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Pinda apita njia ya Lowassa
KATIBU Mwenezi wa Chama cha NCCR Mageuzi, na Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema Bunge lijalo hapatatosha kati ya yeye na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kama ripoti ya ufisadi...
10 years ago
GPL
LOWASSA AWAWEKA UKAWA NJIA PANDA!
10 years ago
Vijimambo
UVCCM NYAMAGANA WAMUWEKA LOWASSA NJIA PANDA.


YAH.TAMKO LA KUPONGEZA KAULI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA NDUGU STANSLAUS MAGESA MULONGO.
Ndugu wanahabari na watanzania wote. Kwanza nitumie fursa hii kuwashukuru kwa kuitikia wito na kukubari kuja kuungana nasi kwa lengo la kuwajuza watanzania kwa kile kinachoendelea katika mkoa wetu Wa mwanza kwa faida na manufaa ya watanzania wote.
Siku ya 6/7/2015, mkuu wetu wa mkoa Wa mwanza alitoa maelekezo kwa makamanda wa polisi kuzuia watu...
10 years ago
GPLTUHUMA DHIDI YA LOWASSA KUMSAFISHIA NJIA KUELEKEA IKULU
11 years ago
Vijimambo02 Nov
CHADEMA YAZINDUA PROGRAM TATU ZA KUJIENEZA KWA NJIA YA MTANDAO

10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Lowassa kuhamia Chadema?
SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumtangaza Dk. John Magufuli kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wapenzi wa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamemtaka akihame chama chake.
Kati ya wapenzi hao ni mbunge wa zamani wa Monduli, Luteni Lepilal Ole Molloimet, aliyesema jana kwamba iwapo Lowassa ataondoka CCM chama kitakuwa katika hali mbaya.
Akizungumza na Raia Tanzaia jana kwa simu, Molloimet alisema: “Tena mimi ninataka ‘a-cross’ (ahame). Afanye...