Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nordic kusaidia uandishi wa mikataba

Taasisi ya Nordic Africa ya Chuo Kikuu Cha Uppsala cha nchini Sweden, kimeahidi kuisaidia Tanzania na nchi nyingine za Afrika kupata wataalamu wa kutafuta masoko na uandishi wa mikataba baina ya nchi zao na wawekezaji wa kigeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Uandishi usio uandishi wa habari

Kama kuna uandishi wa habari ambao utachukiza na hata kuchefua wasomaji na wasikilizaji Jumapili hii, ni unaofanana na huu hapa.

 

9 years ago

Dewji Blog

MO to attend largest Nordic-African business summit

DSC_0310

Mr. Mohammed Dewji, Group Chief Executive Officer, Mohammed Enterprises Tanzania (MeTL Group).

For the fifth consecutive year, The Norwegian-African Business Association (NABA) will host the largest Nordic-African business summit. 500 Scandinavian and African experis from finance, renewable energy, agriculture, ITC, fisheries, oil and gas sectors will gather at RaddisonBLU Scandinavian Hotel in Oslo on Thursday, 29 October 2015 to discuss how Nordic capabilities can be linked with African...

 

5 years ago

Michuzi

NCHI ZA NORDIC ZAAHIDI KUENDELEZA, KUIMARISHA UHUSIANO WAKE NA TANZANIA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) akiwa ameshikilia mpira ulioandikwa malengo 17 ya maendeleo endelevu katika picha ya pamoja na mabalozi wa nchini za Nordic. Nchi za NORDIC ambazo ni Norway, Sweden, Finland na Dernmark zimeahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania na kuhakikisha kuwa Tanzania inasonga mbele katika maendeleo yake kijamii, kisiasa na kiuchumi.

Akiongea wakati wa maadhimisho ya wiki ya Nordic jijini Dar es Salaam, ...

 

9 years ago

Mwananchi

Umakini katika Uandishi

Siku za hivi karibuni nilipata fursa ya kusoma habari zilizoandikwa katika gazeti moja la Kiswahili kwa umakini mkubwa kwani ilikuwa siku ya Jumapili   ambayo ni siku ya mapumziko.  Zilikuwapo kurasa mbili zilizokuwa na makosa mengi ya kizembe.  Nimesema ni makosa ya kizembe kwa kuwa waandishi na hata wahariri hawakufanya kazi zao ipasavyo. Hawakujali kutimiza wajibu wao. Ilipasa wahariri wasome makala zilizoandikwa na waandishi ili kurekebisha makosa yaliyo dhahiri ni ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Uandishi Bora wa Kiswahili

MAKOSA yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili. Ninaposema waandishi nina maana ya kuwahusisha  wataalamu wengine wa uandishi wa habari kama vile wahariri, wahakiki kurasa na wadhibiti maandishi. Hawa wote ni muhimu katika uandishi bora. Hebu soma sentensi zifuatazo: “Jukwaa la Wanarukwa lina dhumuni la kuhamasisha watu kuchangia sekta za kilimo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu za Uandishi Bora

Kwa kuwa waandishi wengi wamesoma katika vyuo mbalimbali vya uandishi wa habari, imeonekana  kuwa kuna haja ya kuwa na mwongozo wa uandishi bora na aina za mitindo inayotumika na kukubalika. Mwongozo huu umejikita katika matumizi fasaha na sanifu ya lugha ya Kiswahili ambayo ndiyo msingi katika uandishi wa habari. Ifahamike kuwa kila  kampuni  ya uchapishaji wa magazeti au vitabu na kampuni za televisheni na redio huwa na mtindo wao wa kuandika au kutangaza habari ambao ni tofauti...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu bora za Uandishi

Katika makala yaliyopita nieleza juu ya matumizi sahihi ya maneno katika uandishi. Nilisisitiza kuwa waandishi  hawana budi kuwa makini wanapoandika kwa kuchagua maneno yaliyo sahihi na sanifu. Sasa nitaendelea kama ifuatavyo: 

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya alama katika uandishi

Niliwahi kueleza kuwa mwaka huu wa 2014 uwe ni mwaka wa mapinduzi katika Lugha ya Kiswahili.

 

9 years ago

Habarileo

TMF yajipanga kuboresha uandishi

MFUKO wa Vyombo vya Habari nchini (TMF) umejipanga kuongeza uwezo wa mwandishi mmoja mmoja katika kufanya habari za uchunguzi, ili kuongeza idadi ya waandishi wenye uwezo, wa kufanya habari za kiuchunguzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani