Nyalandu atangaza nia, kuchukua fomu leo
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameendelea kupigana vikumbo katika kutangaza nia na kuchukua fomu kuwania uteuzi wa kugombea urais wa Tanzania, akiwemo Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyetangaza nia jana mkoani Singida.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Nyalandu atangaza nia na kuchukua fomu, asema uwekezaji kwenye rasilimali umma ni muhimu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu na mkewe Bi.Faraja Nyalandu wakiingia uwanja wa Namfua Mjini Singida kabla ya kuhutubia wananchi kwa kutangaza nia ya kugombea Urais.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Wilaya wa Singida, Barnabas Hanje kabla kutangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania kwenye mkutano uliofanyika uwanja wa Namfua Mjini Singida.
Bi. Faraja Nyalandu akiongea na wananchi kabla ya hotuba ya mumewe Mhe. Lazaro...
10 years ago
Habarileo03 Jun
Nyalandu kuchukua fomu Juni 8
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu atahutubia wananchi mkoani Singida mwishoni mwa wiki hii, ikiwa ndio mwanzo wa kwenda kuchukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
MichuziNYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
MichuziNYALANDU KUCHUKUA FOMU ZA URAIS JUNI 7 MJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi29 Dec
NYALANDU ATANGAZA RASMI NIA YA KUWANIA URAIS 2015
theNkoromo Blog, SingidaMbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwakani.
Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba anao uwezo wa kuiongoza Tanzania, katika harakati za kuwafikisha kwenye maendeleo endelevu wanayotaka Watanzania.
Amesema, yuko tayari kushindanishwa na Watanzania wengine watakaoona kuwa wanafaa kuwa Rais, lakini akisema kwanza kila atakayejitokeza itabidi kazi zake...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
ACT-Wazalendo kuchukua fomu urais leo
10 years ago
MichuziMakamba Kuchukua Fomu ya Urais Leo Mjini Dodoma
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uW2qh5e_0-I/VW3b4w71TUI/AAAAAAAHbe0/OehtAOdORk0/s72-c/MUHONGO.jpg)
Profesa Muhongo atangaza nia leo mjini Musoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-uW2qh5e_0-I/VW3b4w71TUI/AAAAAAAHbe0/OehtAOdORk0/s640/MUHONGO.jpg)
Pamoja na mambo mengine, Muhongo alitumia muda mwingi kutoa takwimu hali ya umasikini na utajiri kwa wananchi wa Tanzania, bila kusahau baadhi ya nchi ambazo zimeweza...
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
January Makamba kuchukua fomu ya Urais leo mjini Dodoma
MBUNGE wa jimbo la Bumbuli, mjumbe wa NEC na Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.