NYAMA YA ULIMI MPE LAAZIZ WAKO
![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKg4FaegE7T5lCnpMM3h-btmgd2qVZk55hDmrAkh9w0xhD5B5TIFkHz-SWWkNnh2m6zzL1RnGb9xWARWGySb7B5/MonicaBellucciSylvieLancrenon10.jpg?width=650)
Mmmh mshaanza eti nimeishaingia mama Chaunabe, kitanga na njia nisiye na breki kwenye domo langu, wahenga wanasema kinywa cha mkubwa kinanuka lakini maneno hayanuki. Najua maneno yangu ya shombo huenda hayakufurahishi wewe, ambaye kila kukicha unabadili wanaume na kuonekana una hila. Shutuuu dada mwanamke tabia babu wee, mwanamke kujua mumeo anataka nini, mwanamke kujituma kwenye kiwanja kifupi cha sita kwa sita. Unasahau cha...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg03NTS4Lfl2IpNJUA1UDhjUfpgwnMjbzz3wdhbEroWpZAu-xphZRDbU5kwhZaSJ6uAp1BBF2E82*0Q3Vsx1dEA0/COUPLES.jpg?width=650)
NYAMA YA ULIMI MPE LAAZIZI WAKO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW757l6T4jpStEEKbWYNe7P*G0PB46iElrzZToNdOL0euoo4jzFPyUBPTl1lzEcL0bDbXTDsk9Mg89uIRplcDyK2/romantichoneymoon.jpg?width=650)
MPE UHURU MPENZI WAKO AKUPE RAHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
10 years ago
Mtanzania15 May
Mkapa: Ninachunga ulimi wangu
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, amesema kwamba yeye ni mwanasiasa mstaafu anayechunga ulimi wake.
Mkapa alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipofungua mkutano wa makandarasi ulioandaliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB).
Alisema pamoja na hali hiyo hivi sasa kila anapopelekewa mialiko ukiwamo wa CRB huwa anajiuliza kukubali lakini hujikutuka akipata moyo kwa kuchunga ulimi wake.
“Nilipoombwa kuja kuwa mgeni rasmi katika mkutano huu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydWWQKXTbhj3*-mF1qOgY0m92*oxbs4uWYE98cy7Z5q8xuTVUL6bUOIxQFNDpKOR1dRpMqetqEz6Q5A4c6W4nyfB/mahaba.jpg?width=650)
UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWAo4k3TucMaT2-e9U-AGlALAJdF9Ps5fj99mnCsCGDgNn8CZCDloSl0Rn0klG0oS*2yhg2-48EbsLl*-KBZIOI/mahaba.jpg?width=650)
UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?
10 years ago
Habarileo28 Jan
Auawa kwa shoka, anyofolewa ulimi
IMANI ya ushirikina, ajali na vitendo vya ukatili dhidi ya binadamu vimesababisha wananchi wa mikoa ya Mbeya kugubikwa na simanzi kutokana na mauaji ya kutisha.
10 years ago
Habarileo26 May
Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa
WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.