Nyerere Wangu Mimi!
Mwaka 1984 nilianza darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Kigoma, katika mji wa Kigoma. Nakumbuka kupelekwa Shule siku ya kwanza na mama yangu mzazi Bi Shida Salum (Mungu amrehemu) nikiwa sina viatu yaani pekupeku wala begi la mkononi, nilikuwa nimebeba mfuko wa nailoni. Nakumbuka usiku wa kuamkia siku ya kwanza kwenda shule, sikulala kwa furaha na hamu ya kuwa msomi, nilijisikia fahari kuanza shule japokuwa sikuwa na kitu chochote cha zaida zaidi ya kaptula ya shule na shati liloshonwa...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
![](http://api.ning.com/files/Z-JJSpQIZ6-DdIqG6stPddxLftfvovrSXvrUmlemlKwxmMLIXVlKVOI09Pla36hRBdm7VGfli*TvZac4cdmOUKUrpwp62Gx3/blackwomanwithwhitemanpf.jpg?width=650)
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iWIkJai7bVtr9dWdJZ3MHgQPEvNUCBYWoGzKprU871KQfUgIRAoLUxAPLvb6bI7bcE343XAr-NMoYI5j*vIQA5p/OMOTOLA_Invest_Africa_01Feb.jpg?width=650)
OMOTOLA: MUME WANGU ANAKWENDA SOKONI, MIMI NAPIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldHDSCbTM6GvTBsKkwvEbs2206k*scEhaslSfZHX2pUDpMxbEfSPWAGw0xgvZkQLCMmz4fZm0um6LsVIQYQl*n3/KILAINI.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI ASKOFU METHOD KILAINI, NINGEJIUZULU WADHIFA WANGU
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ester-kiama.gif?width=620)
ESTER: WAKIWA BIZE NA SIASA, MIMI NAUZA MKAA WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tS6JQAqcOfyXWoDQGb6-zaO15P3-WTklunk-vKafLxPcloPlDYAWWW5itfXKApeypck5YpjdbxFkodgyl*-9PGA/KamandaKOVA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI SULEIMAN KOVA, NINGETAZAMA UPYA UFANISI WANGU
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Mama Lowassa: Kwanini wamtungie mume wangu uongo? Waniulize mimi
NA AGATHA CHARLES, DAR ES SALAAM
MKE wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Regina, amesema anashindwa kuelewa ni kwanini watu wanatunga uongo kuhusu mumewe.
Akizungumza katika mkutano na wanawake kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Regina alisema yeye ni mtu pekee anayemfahamu mumewe kuliko mwingine yeyote.
“Huyu ni mume wangu, namfahamu kulikoni mtu mwingine yeyote… ni mchapakazi, ni mtu anayethamini utu, mpenda maendeleo, asiyependa unyanyasaji. Nashindwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykXYy8f9ERiT2eMQ56UF54fF4dV-u*hrKyyghLTQiyYbzsCFDNh6FPn*yXNg2n9CBO3JfU7GkfgkJ8g5hHnuqVnm/couples.jpg?width=650)
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?
10 years ago
Vijimambo10 Jan
NINGEKUWA MIMI SULEIMAN KOVA, NINGETAZAMA UPYA UFANISI WANGU WA KAZI
![](http://api.ning.com/files/bco3t9J7*tS6JQAqcOfyXWoDQGb6-zaO15P3-WTklunk-vKafLxPcloPlDYAWWW5itfXKApeypck5YpjdbxFkodgyl*-9PGA/KamandaKOVA.jpg?width=650)
Kwako Kamanda wa Kanda Maalum ya Kipolisi ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova.Ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku ambayo yanakufanya uwe bize muda mwingi. Najua itakuwa vigumu kuonana na wewe kwa mara nyingine tangu tulipoonana siku ulipotembelea chumba chetu cha habari. Hata hivyo, hiyo hainizuii kukufikishia ujumbe wangu kwako.Mheshimiwa, mimi siyo Kamanda wa Polisi wa...