ESTER: WAKIWA BIZE NA SIASA, MIMI NAUZA MKAA WANGU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ester-kiama.gif?width=620)
Imelda Mtema Staa wa muvi Bongo, Ester Kiama ameibuka na kusema kuwa wakati mastaa wenzake wakihangaika na kampeni za siasa yeye anauza mkaa wake kwani amegundua kuwa wamemtenga kwa sababu hawajawahi kumshirikisha kwenye lolote. Akizungumza na Ijumaa, Ester alisema kuwa awali alikuwa akiumia kuona ametengwa lakini alipokaa na kufikiria kwa makini aliona ni bora alivyoachwa ili aifanye kazi yake ya kuuza mkaa kwa ufasaha....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11703133_933997036664094_8345820761567523157_n-1.jpg)
ESTER BULAYA, LEMBELI WAKIWA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA MWANZA LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2QXHeXeOL6Zn*M*d5OKSVJlWaOC-MDlLSMP6XT5CLOKANQ2o7qLS3AgQTm*nWyKwzhafeMrfY10hIDFyFkE0dzu/Ester.jpg)
ESTER: MIMI SIYO MBURULA, WANAOJIUZA NI HAOHAO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKUZle6qQigMjSqQvvu20N73RbbnrXxOzaNRNqyvSDnSIxKQ8u7usSAgu7DCMdsdX-McD3751mHI1cQyK-HuuU3/11.jpg?width=650)
ESTER: DUDE NI MZIBA PANCHA WANGU
10 years ago
Zitto Kabwe, MB14 Oct
Nyerere Wangu Mimi!
Mwaka 1984 nilianza darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Kigoma, katika mji wa Kigoma. Nakumbuka kupelekwa Shule siku ya kwanza na mama yangu mzazi Bi Shida Salum (Mungu amrehemu) nikiwa sina viatu yaani pekupeku wala begi la mkononi, nilikuwa nimebeba mfuko wa nailoni. Nakumbuka usiku wa kuamkia siku ya kwanza kwenda shule, sikulala kwa furaha na hamu ya kuwa msomi, nilijisikia fahari kuanza shule japokuwa sikuwa na kitu chochote cha zaida zaidi ya kaptula ya shule na shati liloshonwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iWIkJai7bVtr9dWdJZ3MHgQPEvNUCBYWoGzKprU871KQfUgIRAoLUxAPLvb6bI7bcE343XAr-NMoYI5j*vIQA5p/OMOTOLA_Invest_Africa_01Feb.jpg?width=650)
OMOTOLA: MUME WANGU ANAKWENDA SOKONI, MIMI NAPIKA
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
![](http://api.ning.com/files/Z-JJSpQIZ6-DdIqG6stPddxLftfvovrSXvrUmlemlKwxmMLIXVlKVOI09Pla36hRBdm7VGfli*TvZac4cdmOUKUrpwp62Gx3/blackwomanwithwhitemanpf.jpg?width=650)
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldHDSCbTM6GvTBsKkwvEbs2206k*scEhaslSfZHX2pUDpMxbEfSPWAGw0xgvZkQLCMmz4fZm0um6LsVIQYQl*n3/KILAINI.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI ASKOFU METHOD KILAINI, NINGEJIUZULU WADHIFA WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tS6JQAqcOfyXWoDQGb6-zaO15P3-WTklunk-vKafLxPcloPlDYAWWW5itfXKApeypck5YpjdbxFkodgyl*-9PGA/KamandaKOVA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI SULEIMAN KOVA, NINGETAZAMA UPYA UFANISI WANGU