Nyeri Kunani?
![](http://img.youtube.com/vi/S4xgI8hj9Ws/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wanawake wa Nyeri walia na Nyani
Nyani na tumbili wanaofugwa kwenye hifadhi ya wanayama, wavamia mashamba ya raia na kuwashambulia wanawake na mazao yao.
10 years ago
Vijimambo20 Jun
HABARI NDIYO HII BAADA YA WANAUME KUONEWA NA WAKE ZAO HUKO NYERI KENYA WAPATA SULUWISHO
IMG_3210 from NY Ebra on Vimeo.
10 years ago
Vijimambo11 Apr
VATICAN YAMKATAA BALOZI, KUNANI?
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/05/150405035055_pope_francis_easter_vigil_640x360_afp.jpg)
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni...
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Vatican yamkataa balozi,kunani?
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Bensouda awasili Uganda,kunani?
Fatou Bensouda amewasili nchini Uganda ili kutafuta ushahidi kuhusu kesi ya aliyekuwa kamanda mkuu wa wapiganaji wa LRA Uganda
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Waislamu taabani,Austria Kunani ?
Wakristu na wayahudi wataruhusiwa kupokea misaada iwapo sheria hiyo itapitishwa lakini Waislamu na Masheikh hawatoruhusiwa
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Kunguru wavamia Mombasa. Kunani?
Kisiwani Mombasa kuna ndege mmoja tu anayetawala; naye ni Kunguru wa Kihindi, au ukipenda 'Indian House Crow'.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Msanii Dr.Dre ashtakiwa,kunani?
Wasanii mashuhuri wa Marekani Dr Dre na Jimmy Loving wanashtakiwa na mshirika wao wa kibiashara kuhusu vipaza sauti vya beats
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewaombea radhi makasisi wa kanisa hilo waliowalawiti watoto na kutishia kuwawekea vikwazo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania