Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyeri Kunani?

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wa Nyeri walia na Nyani

Nyani na tumbili wanaofugwa kwenye hifadhi ya wanayama, wavamia mashamba ya raia na kuwashambulia wanawake na mazao yao.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

VATICAN YAMKATAA BALOZI, KUNANI?


Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vatican yamkataa balozi,kunani?

Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya

 

10 years ago

BBCSwahili

Bensouda awasili Uganda,kunani?

Fatou Bensouda amewasili nchini Uganda ili kutafuta ushahidi kuhusu kesi ya aliyekuwa kamanda mkuu wa wapiganaji wa LRA Uganda

 

10 years ago

BBCSwahili

Waislamu taabani,Austria Kunani ?

Wakristu na wayahudi wataruhusiwa kupokea misaada iwapo sheria hiyo itapitishwa lakini Waislamu na Masheikh hawatoruhusiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Kunguru wavamia Mombasa. Kunani?

Kisiwani Mombasa kuna ndege mmoja tu anayetawala; naye ni Kunguru wa Kihindi, au ukipenda 'Indian House Crow'.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msanii Dr.Dre ashtakiwa,kunani?

Wasanii mashuhuri wa Marekani Dr Dre na Jimmy Loving wanashtakiwa na mshirika wao wa kibiashara kuhusu vipaza sauti vya beats

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewaombea radhi makasisi wa kanisa hilo waliowalawiti watoto na kutishia kuwawekea vikwazo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani