Nyota Kagera Sugar awapa ulaji wenzake
Mshambuliaji wa Kagera Sugar, Rashid Mandawa, amesema atawapa wachezaji wenzake nusu ya fedha aliyopewa baada ya kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu wa Novemba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Nahodha Ndanda awapa somo wenzake
NAHODHA wa timu iliyopanda Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu, Ndanda FC ya mkoani hapa, Salum Hamisi ‘Gallas’, amewataka wachezaji wenzake wasiwe na tabia ya papara kutaka kucheza timu kubwa...
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Kerr awapa somo nyota wake
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Daylan Kerr, amewapa somo nyota wake kuhakikisha wanapeana maelekezo ya kiufundi wenyewe kwa wenyewe wakiwa dimbani, kwa lengo la kukabiliana na upinzani wa timu yoyote ili timu itoke na ushindi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema ameamua kufanya mabadiliko kidogo ya ufundishaji, ambapo wachezaji wanaoonyesha kuelewa zaidi mazoezini, watakuwa na jukumu la kuwasaidia wanaoshindwa.
Kerr alisema muda uliobakia kabla ya...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Kagera Sugar kuteseka Bara
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s72-c/_MG_5505.jpg)
AZAM FC YAILAMBA KAGERA SUGAR 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kNJ0Z5l7Fk/VoAQZEcvJtI/AAAAAAABmMg/YJQaFCo-ypg/s640/_MG_5505.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwES7MjFZOk/VoAQaFikPFI/AAAAAAABmMo/LERi7NqCYDM/s640/_MG_5506.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zX0mhPjqA1Q/VoAQab_7LYI/AAAAAAABmMs/3m9zxtdX7cE/s640/_MG_5507.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LFu0R4FpO_U/VoAQskQOIxI/AAAAAAABmNI/NGCzmcrw6jU/s640/_MG_5512.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UJ1C0Zy3YTY/VoAQxOKlv_I/AAAAAAABmNY/2_zgXvK2gBI/s640/_MG_5530.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kiiza.jpg?width=650)
SIMBA WAICHAPA KAGERA SUGAR 3-1
11 years ago
GPLYANGA YAIKANDAMIZA KAGERA SUGAR 2-1
9 years ago
MichuziKAGERA SUGAR YAIBUKA MSHINDI WA 1-0
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Phiri awagwaya Kagera Sugar
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Steve Nyerere Awapa Makavu Baadhi ya Mastaa Wenzake wa Bongo Movies
Staa wa bongo movies, Steve Mengere ‘ Steve Nyerere’ amesema hana mpango na shutuma mbalimbali zinazosemwa na baadhi ya wasanii wenzake kwani Mungu atamlipa kutokana na uvumilivu wake
Steve nyerere aliyasema hayo na kuweka wazi kuwa kuna watu wanamchafua ambao hawana ishu yoyote hapa mjini zaidi ya kutupia picha kwenye mitao ya kijamii na kujinadi kwa nyumba nzuri na na magari ya kuazima.
“ Unajua kuna mambo kibao ya kufanya katika jamii lakini watu hawayaoni zaidi ya majungu tu hao...