Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota wa Tennis mahakamani Afrika.K

Bingwa wa zamani wa Tennis duniani, Bob Hewitt amefikishwa mahakamani nchini Afrika Kusini kwa tuhuma za ubakaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Rising tennis star Ons Jabeur 'confused' about rest of tennis season after Wimbledon cancellation

Tunisian tennis star Ons Jabeur has told BBC Sport Africa that the cancellation of Wimbledon has left her "confused" about the remainder of the season.

 

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA TENNIS TANZANIA (TTA) KUANDAA TENA MASHINDANO YA AFRIKA MASHARIKI

CHAMA CHA TENNIS TANZANIA (TTA) KUANDAA TENA MASHINDANO YA AFRIKA MASHARIKI (EAST AFRICAN JUNIOR ZONAL CHAMPIONSHIPS) KWA VIJANA CHINI YA UMRI WA MIAKA 16, JANUARI 11-19 2015.
Chama cha Tennis Tanzania (TTA) kimepewa nafasi nyingine tena ya kuandaa mashindano ya vijana wa ukanda wa Afrika Mashariki  (East Africa zonal championships) na yatafanyika kuanzia tarehe 11 hadi 19 Januari 2015. Nchi shiriki kwa mwaka 2015 ni Burundi, Comoros, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Seychelles, Sudan na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyota wa ligi ya NBA kucheza Afrika

Wachezaji nyota wa ligi ya NBA wanatarajiwa kucheza barani Afrika katika mchezo wa kwanza mjini Johannesburg

 

10 years ago

BBCSwahili

Brahimi nyota wa BBC Afrika 2014

Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika BBC mwaka huu amepatikana. Baada ya maelfu ya kura kuhesabiwa, mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi ndiye mshindi wa mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabondia nyota Afrika kuzipiga Tanzania

Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa ya IBF yatakayoshirikisha mabondia nyota duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Komla Dumor, nyota ya Afrika iliyozama

“Nakifananisha kifo cha Komla Dumor, kuwa sawa na anguko la mbuyu uliomea katika ardhi yenye rutuba. Sikutarajia kama unaweza kuondoka mapema hivyo, ewe nyota angavu: Komla Dumor (41) alikuwa sura na sauti ya Afrika, kijana mchapakazi, mwenye weledi, aliyejaaliwa uthubutu.”

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia nyota wa Afrika kuacha soka mapema

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasoka wengi wa Afrika wamekuwa wakiacha kucheza soka mapema huku wengi wao wakionekana bado wana nguvu za kutosha kutoa mchango kwa klabu zao na mataifa yao.

 

11 years ago

GPL

JK ATUNUKIWA TUZO NYINGINE YA KIMATAIFA, NI YA KUWA NYOTA WA DEMOKRASIA AFRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa tuzo la kimataifa – zamu hii kwa kuwa mshindi waTuzo la Nyota wa Demokrasia Afrika  2014 – Icon of Democracy Award Winner for 2014 in Africa. Kwa mujibu wa barua aliyoandikiwa Rais Kikwete na kupokelewa Ikulu, Dar Es Salaam, Rais...

 

10 years ago

Vijimambo

Ne-Yo kutumbuiza Coke Studio Africa nchini Kenya na nyota wa Afrika

Kufuatia tetesi mbalimbali kuhusu ujio wa mkali wa miondoko ya R&B na Pop NE-YO katika onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu, sasa imethibitishwa kuwa msanii huyo atakuja rasmi.

NE-YO ambaye atakuwa ndiye mgeni pekee kutoka nje ya Afrika, ataambatana na nyota wengine wa Afrika ambao ni Wangechi (Kenya), Alikiba  (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Mozambique) na Ice Prince (Nigeria) ambapo wataungana kufanya nyimbo moja.

Kuelekea ujio wake nchini Kenya, NE-YO  ametoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani