Nyota wapya kriketi wamkuna Remtullah
CHAMA cha Kriketi Tanzania (TCA) kimesema wachezaji wapya 14 walioteuliwa kuunda kikosi cha timu ya taifa ya mchezo huo kwa vijana wa chini ya miaka 19, wanaendelea vizuri na mazoezi. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Nyota Nibomana, Majabvi wamkuna kocha wa Simba
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
P Funk asaka nyota wapya
STUDIO ya Bongo Record iliyo chini ya mtayarishaji mkongwe nchini, P Funk Majani, inatafuta wasanii wapya wenye vipaji ikiwa ni pamoja na wale wanaojijua kama wana bahati. Akizungumza jijini Dar...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Mchanyato Stars wamkuna
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Mashabiki wamkuna Olunga
MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga amefurahishwa na mashabiki wa soka Tanzania kujaa kwa wingi uwanjani na kushangilia timu za nje.
Olunga ambaye yuko nchini hivi sasa na kikosi chake kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Kagame, amesema hali hiyo ya ushabiki haipo nchini kwao.
Akizungumza na Raia Tanzania mshambuliaji huyo alisema mashabiki wa soka Tanzania wanaonekana kupenda mpira kuliko hata mashabiki wa nchini kwao.
Olunga alisema hali hiyo ya...
11 years ago
Habarileo25 Jul
Ruvuma wamkuna Rais kasi ya maendeleo
RAIS alisema kuna kasi nzuri ya maendeleo katika mkoa wa Ruvuma na ameridhishwa na jitihada za halmashauri za miji, halmashauri za wilaya na manispaa.
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Watoto wenye ulemavu wamkuna Natasha
NA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.
Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.
Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Manchester United ‘wamkuna’ Van Gaal
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Vitenge vya nyota nyota vyatikisa
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Wachezaji Coastal Union wamkuna Kocha Chipo
KOCHA wa timu ya Coastal Union ya Tanga, Yusuf Chipo amesema ameridhika na kiwango cha vijana wake baada ya kuwafunga Shaba FC ya Pemba mabao 5-1 katika mechi ya kirafiki...