Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


P Funk asaka nyota wapya

STUDIO ya Bongo Record iliyo chini ya mtayarishaji mkongwe nchini, P Funk Majani, inatafuta wasanii wapya wenye vipaji ikiwa ni pamoja na wale wanaojijua kama wana bahati. Akizungumza jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota wapya kriketi wamkuna Remtullah

CHAMA cha Kriketi Tanzania (TCA) kimesema wachezaji wapya 14 walioteuliwa kuunda kikosi cha timu ya taifa ya mchezo huo kwa vijana wa chini ya miaka 19, wanaendelea vizuri na mazoezi. Akizungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Eti Kajala, P Funk Upya!

Kwamujibu wa gazeti la Visa, limeripoti kuwa kuna fununu kuwa staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja anadaiwa kurudiana na mzazi mwenzake P Funk Majani ambaye ni mtayarishaji nguli wa muziki wa Bongo Fleva. <span 1.6em;"="">Hii ni kutokana ka bwana’ke amabe alimpora Wema Sepetu , CK kudaiwa kuishiwa mkwanja.

Licha ya kuwa Kajala bado yupo kwenye ndoa na mumewe anaesota gerezani, inadaiwa kwasasa  anajipooza machungu  na kushea mashuka  ya hoteli na mzazi mwenzie P Funk.  kwa mijibu wa gazeti...

 

11 years ago

GPL

P FUNK AFUNGA NDOA YA SIRI

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya kuishi maisha ya kisela kwa muda mrefu, hatimaye mtayarishaji nguli wa muziki Bongo, Paul Mathyasse ‘P Funk’ ameoa kwa siri. Mtayarishaji nguli wa muziki Bongo, Paul Mathyasse ‘P Funk’ wakati wa harusi yake. Taarifa kutoka kwa chanzo makini kilichoshuhudia tukio hilo, lilichukua nafasi jijini Arusha mwishoni mwa wiki iliyopita kwa usiri mkubwa. Imeelezwa kuwa, P Funk...

 

9 years ago

GPL

CHUMBA CHA PAULA WA P- FUNK KUFURU!

Mtoto wa prodyuza maarufu Bongo, Paul Matthysse ‘P- Funk’ na Kajala Msanja, Paula. Imelda Mtema Chumba cha mtoto wa prodyuza maarufu Bongo, Paul Matthysse ‘P- Funk’ na Kajala Msanja, Paula kimeibua mshituko kufuatia namna kilivyosheheni vitu vya thamani. Juzikati mwandishi wetu alitinga ndani ya mjengo anaoishi Kajala maeneo ya Mwenge jijini Dar na kustaajabu mengi lakini miongoni mwayo ni chumba ambacho ametengewa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA


*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Fid Q f/ P-Funk — Bongo Hiphop (Radio Rip)

Ikiwa leo ni siku ya kuzaliwa ya Fareed Kubanda aka Fid Q, rapper huyo ameachia ngoma yake mpya ‘Bongo Hiphop’ akimshirikisha P-Funk. Usikilize kwa mara ya kwanza hapa.

 

9 years ago

Bongo5

P-Funk adai ‘CMEA’ itahakikisha wasanii wananufaika na kazi zao

Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani

Kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) imesema kasi mpya ya Rais Dk John Pombe Magufuli inaonesha matumaini mapya kwa wasanii.

Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni mkurugenzi mkuu wa CMEA, Paul Matthysse aka P-Funk alisema sheria za haki miliki zipo vizuri lakini tatizo ni utekelezaji.

“Sisi tunaimani sana na Rais mpya kwa kasi aliyoanza nayo. Tatizo lililopo siyo sheria tatizo ni utekelezaji. Mimi kama CEO wa CMEA niko mstari wa mbele...

 

11 years ago

Bongo5

Fid Q na P-Funk kuachia ‘Bongo Hip Hop’ Jumatano, August 13

Jumatano hii, August 13, Fareed Kubanda aka Fid Q atasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuwapa mashabiki wake zawadi kubwa. Fid na P-Funk Majani, wataachia kile kinachoonekana kama wimbo uitwao ‘Bongo Hip Hip. Hata hivyo hivi karibuni rapper huyo aliiambia Bongo5 kuwa anatarajia kuachia documentary itayoelezea historia ya hip hop ya Tanzania enye jina hilo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani