NYUMBA YAUNGUA MARA 3 NDANI YA MWEZI
Na Shomari Binda,Musoma KATIKA hali isiyo ya kawaida, nyumba ya mkazi wa Kata ya Nyasho Manispaa ya Musoma, David Obambo, imeungua moto mara tatu ndani ya mwezi mmoja na kuwashangaza watu. Askari wa zimamoto akishuhudia nyumba ilivyoteketea kwa moto. Tukio la kwanza la kuungua kwa nyumba hiyo, lilitokea Desemba 10, mwaka huu saa 7 mchana na wiki moja baadaye siku kama hiyo na muda huo nyumba hiyo iliungua tena na kusababisha...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Nyumba yaungua, Sh10 milioni zateketea
11 years ago
Michuzi16 Mar
NEWS ALERT: NYUMBA YA MKUU WA WILAYA YA KILWA YAUNGUA MOTO ASUBUHI HII
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Simanzi zaendelea kutawala ndani ya nyumba ya Tanzania Movie Talents (TMT) mara baada ya mshiriki mwingine kuaga Shindano
Majaji wa shindano la TMT wakimsikiliza kwa makini Mshiriki wa TMT, Mwanaafa Mwinzago (anayeonekana kwenye runinga mbele) wakati akijielezea kabla ya filamu fupi aliyoshiriki kuonyeshwa ili majaji waweze kutoa hukumu kwa washiriki wa kundi hilo
Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) katikati wakiwasikiliza washiriki wa kundi la kwanza wanavyojielezea kabla ya filamu fupi waliyochezwa kuonyeshwa katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa wiki iliyopita
Majaji wa Shindano la...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Bongo501 Oct
Tamasha la BET Experience kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwezi wa 12
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Nyumba 30 zabomolewa na mvua Mara
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Migogoro ‘nyumba intobhu’ yazisumbua mahakama Mara
10 years ago
GPLAMINI APATA PIGO LA TATU NDANI YA MWEZI MMOJA