OKWI AONDOKA KIMYAKIMYA KWENDA KWAO UGANDA
Emmanuel Okwi akisubiri wapambe wake waliombebea mizigo huku simu ikiwa sikioni akiongea na mtu. Wapambe (nyuma) na Okwi akiwa mbele wakielekea ndani ya uwanja wa ndege sehemu ya abiria wanapopumzika.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--*VoSw5EccamNLZKH9lBBP6JQ*6KNI*CR7v8Oz1lpADGx9m1cfKwDTb77KmDroWNSEDq9NLHJREp81JNtR-fwJ/BRANDS.jpg?width=650)
Brandts aondoka Dar kimyakimya
Kocha Ernie Brandts. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Ernie Brandts ameondoka jijini Dar es Salaam kurejea kwao Eindhoven nchini Uholanzi kuendelea na maisha.
Lakini Brandts ameondoka kimyakimya huku akionekana kufanya kila jambo siri kubwa kuhusiana na kuondoka kwake. Brandts alitimuliwa kuinoa Yanga baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe.
Championi Jumatano… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VO24V6BZ51p4J1GsdAMQztUCtQDnMY5tdgHEHJexfkuBnfb0Vmg2oKqS3VF-rrpRdK0w7mB2le0LOr6ECxUyGR/okwi.jpg)
Okwi atua Dar kimyakimya
Kiungo mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi akiwasili nchini.
Na Saleh Ally
HUKU kukiwa na taarifa kuwa uongozi wa Yanga umeamua kuachana naye, kiungo mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi, ametua jijini Dar es Salaam kimyakimya. Okwi ametua kimyakimya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), hali inayosababisha mkanganyiko wa mambo. Wakati watu wengi wanaamini Yanga imeamua kuachana naye, kumekuwa na taarifa...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Harusi ya Okwi yafunika Uganda
Harusi ya mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi imeacha historia nchini Uganda akitumia dola 80,000 ( Sh 160,000 Mil ) kwa ajiri ya kuifanikisha iliyofanyika Jumamosi jijini Kampala.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSLDM1dt7oPZ6wbRPY9t6MJX4Bpdw668B4TXu68o0LGTWBozFKYU3v1Qtb3KhSFCmk5dGicRlgR*9kNq8BqAoI5Y/UGDA.gif?width=650)
Uganda yamzuia Okwi kuzungumza na Yanga
Mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya kauli ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji kuwa klabu hiyo inamdai mamilioni ya fedha mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi kutokana na kushindwa kuitumikia timu hiyo kwa wakati mara baada ya kusajiliwa, suala hilo sasa limewekwa kiporo. Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu ameliambia Championi Ijumaa kuwa, bado hawajaamua cha kufanya juu ya Okwi kwa kuwa wanamsubiri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhx7my1Yu1T4ZuK0LLcbYACyclVk8fsocea9ki32ZYyT3xupiCyEmCCOfNOTn8*-LBWjmx9tpNBYrmwX3VYsdpTs/wakiwamunyunyubeachresort10.jpg?width=650)
NDOA YA OKWI YATIKISA UGANDA, YAHUDHURIWA NA VIONGOZI WA KIJESHI
Mchezaji wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda,akiwa na mke wake, Nakalega Florence katika pozi. NDOA ya mchezaji wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda, aliyofunga na Nakalega Florence, juzi Jumamosi kwenye Kanisa la Lubaga Miracle Center, linaloongozwa na Mchungaji Robert Kayanja, ilionekana kutikisa viunga mbalimbali vya Jiji la Kampala nchini hapa.
Kutikisa kwa ndoa hiyo kulitokana na vyombo mbalimbali vya habari...
10 years ago
Mwananchi26 Mar
JK, Nkurunziza wazindua treni za mizigo kwenda Burundi, Uganda na DR Congo
Rais Jakaya Kikwete na mwenzake Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi wamezindua safari za treni tatu za mizigo ‘block train’ kutoka Dar es Salaam kwenda Burundi, Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9zPTFn7vBM/VhGiZkaa0lI/AAAAAAAD__4/KcoSS-_deYU/s640/FullSizeRender_2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania