Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pakistan kutounga upande wowote Yemen

Bunge la Pakistan limeidhinisha mswada kuwa taifa hilo halitaegemea upande wowote katika mzozo unaokumba taifa la Yemen

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UZUNDUZI WA MRADI MKUBWA WA NJIA MPYA YA MAWASILIANO UNAOUNGANISHA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA UPANDE MMOJA NA UNGUJA NA PEMBA KWA UPANDE MWINGINE

 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia, Profesa Makame Mbarawa akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi wa njia mpya ya mawasiliano inayounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine kwenye sherehe zilizofanyika Pemba hivi karibuni.  Wawakilishi wa balozi mbalimbali na viongozi wa serikali wakiwa kwenye uzinduzi rasmi wa Mradi huo  Wageni mbalimbali  wakiwa kwenye uzinduzi huo mjini Pemba.  Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia,...

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba arejea, aapa kutounga mkono Ukawa

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba alirejea nchini jana jioni akitokea Kigali, Rwanda alikokwenda mara tu baada ya kujiuzulu wadhifa huo siku nane zilizopita.

 

9 years ago

Mtanzania

Ma-RC, DC wakati wowote

Kassim Majaliwa*Elimu, uzoefu na ukada kutumika kwenye mchujo mpya

*Wazee, wagonjwa na walioshindwa uchaguzi mkuu kutupwa

Na Elias Msuya

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wakati wowote kuanzia sasa uteuzi mpya wa wakuu wa mikoa na wilaya utafanyika.

Amesema watakaoteuliwa baada ya kuapishwa watasainishwa tamko la ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma.

Akizungumza jana Ikulu ya Magogoni katika hafla ya kuapishwa kwa makatibu na manaibu katibu wakuu, Waziri Mkuu alisema Serikali imeamua kudhibiti...

 

10 years ago

GPL

PENINA KUPIGWA NDOA MUDA WOWOTE

Laurent Samatta/Uwazi
MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’, amefunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa muda wowote kuanzia sasa. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’. Akizungumza na Uwazi, Penina alisema kuwa harakati za kuolewa zipo jikoni hivyo anamuomba Mungu kile ambacho kinatarajia kufanyika kiweze kwenda kama alivyopanga ingawa hakutaka kumweka wazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli kutua Anfield wakati wowote

Mshambuliaji wa Italia Balotelli ataanza kuitumikia Liverpool hivi karibuni

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo Zambia kutolewa wakati wowote

Matokeo ya kura za urais nchini Zambia sasa yameanza kukamilika katika ukumbi wa kimataifa wa Mulungushi

 

9 years ago

Mtanzania

Kamati za Bunge kutangazwa wakati wowote

owenSHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

KAMATI za Bunge zinatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, kabla ya mkutano wa pili wa Bunge la 11 kuanza Januari 26, MTANZANIA limebaini.

Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Ofisi za Bunge zimelieleza gazeti hili kwamba, suala hilo lipo jikoni na wiki hii Spika anatarajiwa kutangaza kamati za Bunge.

Akizungumzia hilo jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Habari, Owen Mwandumbya alikiri suala la kamati za Bunge kushughulikiwa na Spika, Job...

 

10 years ago

Michuzi

MUDA WOWOTE MTONI KIJICHI KUTASHEHENI VILIO...

Kinga ni bora kuliko tiba. Lakini kwa mti huu ulio katika barabara ya Kijichi, Dar es Salaam, kama inavyoonekana katika picha mbalimbali, ni wazi kuna siku kitalia. Na inaelekea mamlaka zinazohusika ama zimepitiwa au zinachukulia poa tu. Picha zote na Nathan Mpangala. Taswira hizi zinaonesha ni jinsi gani hatari hiyo ilivyo karibu na wananchiWaendesha magari, bodaboda na waendao kwa miguu inawahusu hii

 

10 years ago

CloudsFM

Diamond: Nina uwezo wa kufanya muziki wowote

Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amefunguka kuwa ana uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote kipaji ambacho amejaaliwa na Mwenyezi Mungu.

Hivi karibuni Diamond aliwashangaza mashabiki wake baada ya kuachia wimbo wake mpya kwenye mtandao wa You Tube wenye asili ya mduara uutwao ‘’Nasema Nawe’’ambao amemshirikisha Malkia wa Mipasho,Khadija Kopa. ‘’Namshukuru Mungu amenijalia kipaji kwani nina uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote ule na pia kupitia Video ya wimbo huu nitakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani