Pakistan kutounga upande wowote Yemen
Bunge la Pakistan limeidhinisha mswada kuwa taifa hilo halitaegemea upande wowote katika mzozo unaokumba taifa la Yemen
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l4wBrMEIEmM/Uwb4DWRDwEI/AAAAAAAFOg8/k3tZyNl3UvA/s72-c/unnamed+(85).jpg)
UZUNDUZI WA MRADI MKUBWA WA NJIA MPYA YA MAWASILIANO UNAOUNGANISHA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA UPANDE MMOJA NA UNGUJA NA PEMBA KWA UPANDE MWINGINE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l4wBrMEIEmM/Uwb4DWRDwEI/AAAAAAAFOg8/k3tZyNl3UvA/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g-OgqaEa89g/Uwb4DpEbuWI/AAAAAAAFOhA/GUU2DXbdpiA/s1600/unnamed+(86).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bp86vAV3KKM/Uwb4DyadJEI/AAAAAAAFOhI/cD7-0S0AG-4/s1600/unnamed+(87).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tu3f7Yl8Sl4/Uwb4EkQ95bI/AAAAAAAFOhQ/9NbPTflJ6g8/s1600/unnamed+(88).jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Lipumba arejea, aapa kutounga mkono Ukawa
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Ma-RC, DC wakati wowote
*Elimu, uzoefu na ukada kutumika kwenye mchujo mpya
*Wazee, wagonjwa na walioshindwa uchaguzi mkuu kutupwa
Na Elias Msuya
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wakati wowote kuanzia sasa uteuzi mpya wa wakuu wa mikoa na wilaya utafanyika.
Amesema watakaoteuliwa baada ya kuapishwa watasainishwa tamko la ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma.
Akizungumza jana Ikulu ya Magogoni katika hafla ya kuapishwa kwa makatibu na manaibu katibu wakuu, Waziri Mkuu alisema Serikali imeamua kudhibiti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YCZ77stwWkdxQPZb6qjZayCHbxmEF88B3AklR8lufByMsk*ZvkrN1tKGhM5KygPxVLlOgUQtuBH5lb-veZfA*s/aa.jpg?width=650)
PENINA KUPIGWA NDOA MUDA WOWOTE
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
Balotelli kutua Anfield wakati wowote
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Matokeo Zambia kutolewa wakati wowote
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Kamati za Bunge kutangazwa wakati wowote
SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KAMATI za Bunge zinatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, kabla ya mkutano wa pili wa Bunge la 11 kuanza Januari 26, MTANZANIA limebaini.
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Ofisi za Bunge zimelieleza gazeti hili kwamba, suala hilo lipo jikoni na wiki hii Spika anatarajiwa kutangaza kamati za Bunge.
Akizungumzia hilo jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Habari, Owen Mwandumbya alikiri suala la kamati za Bunge kushughulikiwa na Spika, Job...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jj1ucLnqWOw/VVWhA1YmkTI/AAAAAAAHXZQ/QJhm6KrECWE/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
MUDA WOWOTE MTONI KIJICHI KUTASHEHENI VILIO...
![](http://2.bp.blogspot.com/-jj1ucLnqWOw/VVWhA1YmkTI/AAAAAAAHXZQ/QJhm6KrECWE/s640/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dgvTcyJJ6GQ/VVWhA02Rm3I/AAAAAAAHXZI/AL1nawDHDIE/s640/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ikH_FmyuNBc/VVWhBMdVnoI/AAAAAAAHXZM/Pqf2hBdY0Ec/s640/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
CloudsFM01 Apr
Diamond: Nina uwezo wa kufanya muziki wowote
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amefunguka kuwa ana uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote kipaji ambacho amejaaliwa na Mwenyezi Mungu.