PAM D: WIMBO UNAJULIKANA KULIKO MIMI MUIMBAJI
![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq8RRdil1*5dl08ePHwWB5wfLjQE-ge26RONKWwysbAFnoW4zFOOiafx3zFJP0Uzu13wDfptY7G2aJnR2mYnhD5F/p.txt.jpg?width=650)
Na Hans Mloli UKIWATAJA chipukizi wanaofanya vizuri zaidi kwa sasa kwenye Bongo Fleva basi jina la Mwanadada, Pamella Daffa a.k.a Pam D huwezi kuliweka pembeni kutokana na wimbo wake wa Nimempata. Wimbo huo ni wa kwanza kwake kufanya vizuri na kumweka vema kwenye ramani, umetengenezwa na prodyuza Mesen Selekta ambaye pia amemshirikisha kutoka Studio za D Fatality Music na umemuweka kwenye nafasi nzuri ya kuchukua tuzo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Nov
Wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ umeandikwa na muimbaji wa ‘Mchumba’ H.Mbizo
![Shaa uhindi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Shaa-uhindi-300x194.jpg)
Aliyeandika wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ uliotoka wiki hii, ni msanii wa muda mrefu aitwaye H.Mbizo.
H.Mbizo ni msanii aliyewahi kufanya vizuri miaka ya nyuma na wimbo wake uitwao ‘Mchumba’.
Said Fella ameiambia Bongo5 kuwa Mbizo aliuandika wimbo wote miaka miwili iliyopita na kutayarishwa na producer wa Nigeria aitwaye Big H.
Ameongeza kuwa wengine waliohusika na utayarishaji wa wimbo huo ni producer Shirko pamoja na shemeji Master Jay.
Katika hatua nyingine Shaa kupitia gazeti la Mtanzania...
9 years ago
Bongo526 Aug
Video: Nelly, mtoto wa Amitabh Bachchan, Abhishek na muimbaji wa Canada, Raghav waachia wimbo wa kampeni ya kuleta umeme wa jua Bongo
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Mayweather:Mimi ni bora kuliko Moh'd Ali
9 years ago
MichuziCHIKU ABWAO: HERI YA MONICA MBEGA WA CCM KULIKO MCHUNGAJI MSIGWA WA CHADEMA NAOMBA NICHAGUENI MIMI SAFARI HII
Akizungumza katika mkutano wake wa kampeni za Ubunge jana kata ya Kihesa alisema iwapo atakuwa mbunge wao atahakikisha anakuwa mbunge wa mfano wa kuwaletea maendeleo sahihi.
Kwani alisema kuwa historia ya jimbo hilo...
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Wimbo wa “Ntampata Wapi”, Diamond Hakuniimbia Mimi- Wema Sepetu
Mrembo na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ametoboa kuwa wimbo wa “Ntampata Wapi” ulioimbwa na aliekuwa mpezi wake, Diamond Platnumz hakuimbiwa yeye, hii ni kutokana na watu wengi kudhani kuwa wimbo huu alitungiwa yeye ukizingatia kuwa wakati wimbo huo unatoka ndio kilikuwa kipindi wametoka kuachana.
“Leo nasema rasmi kuwa hii nyimbo hakuniandikia mimi….because nilikuwa naisikia hii nyimbo hata wakati tulipokuwa kwenye uhusiano amekuwa akiimba, akiindika kwahiyo ilikuwa tu ni moja ya...
10 years ago
GPL01 Jan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx-MOe7sq3or4iUGJsD7JFOIUbWnSutMM2zsXCLdHNZOGpC7HLexJ1i4eJiuyAqki5rLeAepN*ivnrzfPYWwXHiD/MAZISHIYADEBORAHSAID4.jpg?width=650)
IBADA YA MAZISHI YA MUIMBAJI DEBORAH SAID YAFANYIKA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jk5Z92MokGE/default.jpg)
10 years ago
Bongo520 Feb
Muimbaji wa Chamber Squad Mez B afariki dunia