Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Nelly, mtoto wa Amitabh Bachchan, Abhishek na muimbaji wa Canada, Raghav waachia wimbo wa kampeni ya kuleta umeme wa jua Bongo

Muimbaji nyota wa nchini Canada mwenye asili ya India, Raghav Mathur ameachia wimbo ‘Until the Sun Comes Up’ aliowashirikisha muigizaji wa Hollywood, Abhishek Bachchan na rapper wa Marekani Nelly kama sehemu ya mradi wa kuleta umeme wa jua nchini Tanzania. Kutokana na mradi huo kupitia taasisi ya SolarAid, Raghav alisambaza taa 300 zinazotumia umeme wa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Tanzania kufaidika na umeme jua kutoka Canada

 Ujumbe kutoka Tanzania ukiongozwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa nne kushoto), ukiwa katika kiwanda cha kutengeneza vifaa vya umeme jua cha Canadian Solar katika jimbo la Ontario nchini Canada.Wengine katika picha ni Mkurugenzi Mwandamizi wa Canadian Solar, Brian Lu (wa tano kushoto), Mwenyekiti Kamati ya Bunge, Nishati na Madini, Mhe.Victor Mwambalaswa(Mb.) (wa tatu kushoto), Mhe.Shafin Sumar (Mb.), (wa pili kulia), Mhe.Richard Ndasa (Mb.) (wa tatu kulia),...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Wyre atoa video ya wimbo alio-sample ‘Monie’ ya Kanda Bongo Man

Muimbaji wa Dancehall, Wyre a.k.a The Love Child kutoka Kenya ametoa video ya wimbo aliosample kutoka kwenye hit song ya mkongwe wa Soukous, Kanda Bongo Man wa ‘Monie’. Mwaka jana mwishoni Wyre alisema kuwa Kanda Bongo Man alimpa haki zote za kusample wimbo huo (Ingia hapa) ambao ameuchanganya na vionjo vya dancehall.

 

10 years ago

GPL

PAM D: WIMBO UNAJULIKANA KULIKO MIMI MUIMBAJI

Na Hans Mloli
UKIWATAJA chipukizi wanaofanya vizuri zaidi kwa sasa kwenye Bongo Fleva basi jina la Mwanadada, Pamella Daffa a.k.a Pam D huwezi kuliweka pembeni kutokana na wimbo wake wa Nimempata.

Wimbo huo ni wa kwanza kwake kufanya vizuri na kumweka vema kwenye ramani, umetengenezwa na prodyuza Mesen Selekta ambaye pia amemshirikisha kutoka Studio za D Fatality Music na umemuweka kwenye nafasi nzuri ya kuchukua tuzo...

 

9 years ago

Bongo5

Wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ umeandikwa na muimbaji wa ‘Mchumba’ H.Mbizo

Shaa uhindi

Aliyeandika wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ uliotoka wiki hii, ni msanii wa muda mrefu aitwaye H.Mbizo.

Shaa uhindi

H.Mbizo ni msanii aliyewahi kufanya vizuri miaka ya nyuma na wimbo wake uitwao ‘Mchumba’.

Said Fella ameiambia Bongo5 kuwa Mbizo aliuandika wimbo wote miaka miwili iliyopita na kutayarishwa na producer wa Nigeria aitwaye Big H.

Ameongeza kuwa wengine waliohusika na utayarishaji wa wimbo huo ni producer Shirko pamoja na shemeji Master Jay.

Katika hatua nyingine Shaa kupitia gazeti la Mtanzania...

 

5 years ago

Bongo5

Muimbaji wa ‘Amarula’ amemtaja msanii wa Bongo atakayesikika kwenye albamu yake

Msanii Roberto kutoka Zambia amemtaja msanii wa Bongo Fleva, ambaye atasikika kwenye albamu yake mpya.

Muimbaji huyo ambaye amewahi kufanya vizuri kupitia wimbo wake wa Amarula, amemtaja msanii huyo kuwa ni Vanessa Mdee.

“Kuna nyimbo 12 kwenye albamu yangu mpya, pamoja na nyimbo mbili za ziada, hivyo jumla ni 14. Nimewashirikisha wasanii kama Patoranking (Nigeria), Vanessa Mdee (Tanzania), Dammy Krane (Nigeria), Jay Rox (Zambia), kundi la BrathaHood, General Ozzy, Mandela na Young Rico,”...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zahanati kufungiwa umeme wa jua

ZAHANATI zilizopo wilayani Igunga zinatarajiwa kufungwa umeme wa jua ili kuwaepusha wananchi kuchangia mafuta ya taa wakati wanapohitaji huduma nyakati za usiku katika zahanati hizo. Akizungumza na wananchi wa Kijiji...

 

11 years ago

Michuzi

Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014

Ni ukweli usiopingika kuwa ajali zimekuwa ni mwiba mchungu kwa familia, jamii na taifa kwa ujumla unaoacha kilio, walemavu, yatima, wajane na wagane kila kukicha. 
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. 
Wimbo huo umerekodiwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Wizara yavipatia umeme jua vijiji 10

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneJUMLA ya vijiji 10 katika wilaya za Kongwa, Mlele na Uyui vimeunganishiwa umeme kupitia mradi wa makontena ya kuzalisha umeme kutokana na jua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani