Wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ umeandikwa na muimbaji wa ‘Mchumba’ H.Mbizo
Aliyeandika wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ uliotoka wiki hii, ni msanii wa muda mrefu aitwaye H.Mbizo.
H.Mbizo ni msanii aliyewahi kufanya vizuri miaka ya nyuma na wimbo wake uitwao ‘Mchumba’.
Said Fella ameiambia Bongo5 kuwa Mbizo aliuandika wimbo wote miaka miwili iliyopita na kutayarishwa na producer wa Nigeria aitwaye Big H.
Ameongeza kuwa wengine waliohusika na utayarishaji wa wimbo huo ni producer Shirko pamoja na shemeji Master Jay.
Katika hatua nyingine Shaa kupitia gazeti la Mtanzania...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Shaa ashangazwa na wimbo wake wa ‘Toba’
NA CHRISTOPHER MSEKENA
STAA wa Bongo Fleva, Sara Kaisi ‘Shaa’, ameibuka na kudai kwamba anashangaa video yake ya wimbo wa ‘Toba’ kupokelewa vizuri na kwa haraka licha ya kurekodi wimbo huo miaka miwili iliyopita.
Akiuzungumzia wimbo huo, Shaa alisema kuwa wakati anaandika wimbo huo alilenga maisha ya miaka ya mbele ndiyo maana alipoutoa ukapata nafasi kubwa ya kuchezwa kwenye redio na runinga kubwa ikiwemo MTV Base.
“Sikutarajia kama ungefanya vizuri kwa sababu wimbo wenyewe umeandaliwa na...
9 years ago
Bongo523 Nov
Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Justin Campos
![Shaa MTV](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Shaa-MTV-300x194.jpg)
Masaa machache kabla video ya wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ haijatambulishwa rasmi kupitia MTV Base, muimbaji huyo ametupa kionjo kidogo.
Video hiyo imeongozwa na director wa Afrika Kusini, Justin Campos. Usikose kuitazama leo jioni (Nov.23) saa 12 kamili kupitia MTV Base ‘Spanking New’
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo515 Oct
Enos Olik aongoza video ya wimbo mpya wa Shaa
9 years ago
Bongo521 Nov
Video ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Campos kutambulishwa na MTV Base Jumatatu Nov.23
![Shaa MTV](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Shaa-MTV-300x194.jpg)
Ile video mpya ya Shaa aka Malkia wa Uswazi, ‘Toba’ aliyoshoot na muongozaji Justin Campos wa Afrika Kusini na kukaa nayo ndani kwa muda mrefu, sasa itatambulishwa Jumatatu ya November 23.
Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza na kituo cha MTV Base kupitia segement yao ya kutambulisha video mpya ‘Spanking New’, saa 12 za jioni saa za Afrika Mashariki.
Wimbo na video hiyo ni muendelezo wa kazi za Shaa kwenye mkataba wake na Said Fella pamoja na Babu Tale ambao pia ndio walihusika na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq8RRdil1*5dl08ePHwWB5wfLjQE-ge26RONKWwysbAFnoW4zFOOiafx3zFJP0Uzu13wDfptY7G2aJnR2mYnhD5F/p.txt.jpg?width=650)
PAM D: WIMBO UNAJULIKANA KULIKO MIMI MUIMBAJI
9 years ago
Bongo526 Aug
Video: Nelly, mtoto wa Amitabh Bachchan, Abhishek na muimbaji wa Canada, Raghav waachia wimbo wa kampeni ya kuleta umeme wa jua Bongo
10 years ago
Bongo519 Jan
Shaa asema 2015 ataendelea kufanya muziki kama ‘Sugua Gaga’ baada ya wimbo huo kumpa mafanikio
10 years ago
Michuzi23 Sep
muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi na ujio wa filamu yake mpya "Mama Mkwe"
FILAMU mpya ya muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi iitwayo 'Mama Mkwe' inatarajiwa kuigizwa sokoni siku ya Alhamisi baada ya kukwama kuachiwa jana Jumatatu kama ilivyokuwa imepangwa.Aidha Muinjilisti huyo amewataka mashabiki wake wasiikose kupata darasa la kutosha.
Jennifer alisema filamu hiyo itaachiwa rasmi Septemba 25 baada ya jana kukwama kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake ikiwa ni wiki kadhaa tangu kumalizika kurekodiwa kwake na kusema kwa ujumbe uliopo ndani yake, mashabiki...
9 years ago
Bongo510 Oct
Shaa azungumzia ukimya wake na ujio wa kazi zake mpya