Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shaa ashangazwa na wimbo wake wa ‘Toba’

shaaNA CHRISTOPHER MSEKENA

STAA wa Bongo Fleva, Sara Kaisi ‘Shaa’, ameibuka na kudai kwamba anashangaa video yake ya wimbo wa ‘Toba’ kupokelewa vizuri na kwa haraka licha ya kurekodi wimbo huo miaka miwili iliyopita.

Akiuzungumzia wimbo huo, Shaa alisema kuwa wakati anaandika wimbo huo alilenga maisha ya miaka ya mbele ndiyo maana alipoutoa ukapata nafasi kubwa ya kuchezwa kwenye redio na runinga kubwa ikiwemo MTV Base.

“Sikutarajia kama ungefanya vizuri kwa sababu wimbo wenyewe umeandaliwa na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ umeandikwa na muimbaji wa ‘Mchumba’ H.Mbizo

Shaa uhindi

Aliyeandika wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ uliotoka wiki hii, ni msanii wa muda mrefu aitwaye H.Mbizo.

Shaa uhindi

H.Mbizo ni msanii aliyewahi kufanya vizuri miaka ya nyuma na wimbo wake uitwao ‘Mchumba’.

Said Fella ameiambia Bongo5 kuwa Mbizo aliuandika wimbo wote miaka miwili iliyopita na kutayarishwa na producer wa Nigeria aitwaye Big H.

Ameongeza kuwa wengine waliohusika na utayarishaji wa wimbo huo ni producer Shirko pamoja na shemeji Master Jay.

Katika hatua nyingine Shaa kupitia gazeti la Mtanzania...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Campos kutambulishwa na MTV Base Jumatatu Nov.23

Shaa MTV

Ile video mpya ya Shaa aka Malkia wa Uswazi, ‘Toba’ aliyoshoot na muongozaji Justin Campos wa Afrika Kusini na kukaa nayo ndani kwa muda mrefu, sasa itatambulishwa Jumatatu ya November 23.

Shaa MTV

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza na kituo cha MTV Base kupitia segement yao ya kutambulisha video mpya ‘Spanking New’, saa 12 za jioni saa za Afrika Mashariki.

Wimbo na video hiyo ni muendelezo wa kazi za Shaa kwenye mkataba wake na Said Fella pamoja na Babu Tale ambao pia ndio walihusika na...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Justin Campos

Shaa MTV

Masaa machache kabla video ya wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ haijatambulishwa rasmi kupitia MTV Base, muimbaji huyo ametupa kionjo kidogo.

Video hiyo imeongozwa na director wa Afrika Kusini, Justin Campos. Usikose kuitazama leo jioni (Nov.23) saa 12 kamili kupitia MTV Base ‘Spanking New’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent

222

Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.

rs_634x1024-130820163003-634.kris.cm.82013

Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.

Chanzo...

 

10 years ago

Bongo5

Enos Olik aongoza video ya wimbo mpya wa Shaa

Muongozaji wa video ya Weusi, Gere, Mkenya Enos Oliki ndiye aliyeongoza video mpya ya wimbo wa Shaa. Hii ni picha aliyopost muongozaji huyo kwenye akaunti yake ya Instagram.

 

10 years ago

Bongo5

Shaa asema 2015 ataendelea kufanya muziki kama ‘Sugua Gaga’ baada ya wimbo huo kumpa mafanikio

Mwimbaji Shaa amesema kuwa baada ya ‘Sugua Gaga’ kufanikiwa kumtambulisha kimataifa mwaka jana (2014), ana mpango wa kuendelea kufanya nyimbo za aina hiyo mwaka huu. Shaa ambaye video ya Sugua Gaga ilifanikiwa kuwa video ya msanii wa Tanzania iliyotazamwa zaidi mwaka jana kwenye mtandao wa Youtube, amekiri kuwa hakutarajia mafanikio hayo wakati anautoa wimbo huo. […]

 

9 years ago

Bongo5

Shaa azungumzia ukimya wake na ujio wa kazi zake mpya

Katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni, Shaa amekuwa kimya. Hata hivyo amesema ukimya huo umetokana na kubanwa na kazi za kimaitaifa ambazo zilikuwa zikimhitaji kusafiri. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa, sasa amerudi rasmi nyumbani na anajipanga kuachia kazi mpya hivi karibuni. “Natoa wimbo na video wangu mpya tarehe 7 mwezi wa 11, ambayo pia ni […]

 

10 years ago

Bongo5

Kumbe video mpya ya Shaa ‘Njoo’ ina pacha wake ‘from another director’, tazama wanavyofanana!

Ule msemo wa ‘duniani wawili wawili’ umejidhihirisha hata kwenye video mpya ya mwanadada Shaa ya wimbo wake ‘Njoo’, aliomshirikisha staa wa Kenya Redsan. Video ya Shaa iliyoongozwa na director Enos Olik wa Kenya ina mfanano na video ya wimbo wa msanii Melanie Fiona ‘This Time’ aliomshirikisha J.Cole ambayo ilitoka Jun 18, 2012. Zitazame video zote […]

 

9 years ago

Bongo5

Producer Mr T Touch kuachia wimbo wake

11355775_382648741933156_266982867_n

Mtayarishaji wa muziki kutoka studio za ‘Free Nation’, Mr T Touch ameweka wazi mpango wake wa kuanza kuimba huku akijipanga kuachia wimbo wake uitwao ‘Tunakutana Nao.’

11355775_382648741933156_266982867_n

Touch ameiambia Bongo5 kuwa licha ya kutengenza hits nyingi Bongo, yeye pia ana uwezo wa kuimba vizuri na kutoboa.

“Maproducer wengi wanaimba, sema tunakuwaga hatutoagi nyimbo,” amesema. “Sisi ndio tunatengeneza muziki kwahiyo tunaujua. Wimbo wangu unaitwa Tunakutana Nao na itakuwa ni ngoma yangu ya kwanza. Sijawahi kuimba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani