Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa Denis asifu mtandao wa Jay Z Tidal

Msanii wa nyimbo za injili Kenya Papa Denis amesifu huduma mpya ya mtandao wa muziki wa Tidal uliozinduliwa na Jay Z.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tidal ya Jay Z kuja na series za vichekesho

Jay ZKampuni ya Tidal, inayomilikiwa na Jay Z inatarajia kuanzisha series za vichekezo. Kwa mujibu wa Variety, Tidal itaonesha series mbili mpya. Series hizo ni pamoja na kipindi cha No Small Talk kinachowapa fursa wachekeshaji wachanga na kuendeshwa Cipha Sounds ambacho kinaanza Jumanne hii, November 3. Mradi mwingine ni msimu wa pili wa Money & Violence […]

 

9 years ago

Bongo5

Tidal ya Jay Z yafikisha watumiaji milioni moja

Jay Z ana haki ya kusherehekea kwa mafanikio yaliyotokana na mtandao wake wa Tidal. Rapper huyo alitumia Twitter kutangaza kuwa mtandao huo wa kusikiliza nyimbo umefikisha watumiaji milioni moja. “Nothing real can be threatened, nothing unreal exists. TIDAL is platinum. 1,000,000 people and counting. Let’s celebrate 10/20 Brooklyn,” alitweet. Tangu ianzishwe, TIDAL imekuwa ikikumbana na […]

 

9 years ago

GPL

BEYONCE, JAY Z WAFUNIKA KATIKA TAMASHA LA TIDAL X 1020, MAREKANI

Madiva wawili Beyonce na Nick Minaj wakiwa katika pozi  kwenye Tamasha la Tidal X 1020 lilofanyika jana katika jiji la New York, Marekani .   Rapa…

 

9 years ago

Bongo5

Jay Z, Beyonce, Nicki Minaj, Usher na mastaa wengine kutumbuiza kwenye show ya charity ya Tidal

Baada ya mtandao wa Tidal kufikisha zaidi ya watumiaji milioni moja, Jay Z aliahidi kusheherekea na sasa ametangaza shangwe hizo zitakuwa lini na wapi. Jay ametangaza show za charity za TIDAL X: 1020 ambapo kwa mara ya kwanza itafanyika Oct. 20 kwenye uwanja/ukumbi wa Barclays Center, Brooklyn. Pamoja na Jay Z mwenyewe, mastaa wengine watakaotumbuiza […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jay Z na Beyonce waoneshana mahaba kwa ku-kiss jukwaani kwenye tamasha la Tidal X: 1020

Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa mastaa walioshambulia jukwaa kwenye tamasha ya Tidal X: 1020 lililofanyika Jumanne Oct 20 jijini New York. Beyonce na mumewe Jay Z hawakusita kuudhihirishia ulimwengu kuwa mapenzi yao bado yana nguvu kwa kushare ‘kiss’ wakiwa jukwaani. Wengine waliotumbuiza kwenye tamasha hilo ni Nicki Minaj, Usher na Lil Wayne, Meek […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Profesa Jay, Sugu wafunika uzinduzi CHADEMA Mtandao

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, juzi uusiku alikonga nyoyo za waalikwa na Wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika uzinduzi wa ‘CHADEMA...

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

10 years ago

TheCitizen

Is Tidal ‘The Avengers of Music?’

One by one, they took their places next to each other: the leading lady, the masked man, a duo in metallic suits–eighteen in all–and, in the middle, dressed in all black, their leader.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zambia yamlilia Denis Liwewe

Zambia inaomboleza Kifo cha Mtangazaji Gwiji wa soka nchini humo Mzee Dennis Liwewe. Erick David Nampesya amendaa makala ifuatayo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani