Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Petroli sasa Sh2,200

Serikali imepandisha bei ya mafuta kuanzia leo baada ya jiji la Dar es Salaam kukumbwa na uhaba wa muda wa nishati hiyo kutokana na baadhi ya wafanyabiashara kusitisha mauzo kusubiri kunufaika na bei mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Pastor aliyewalisha majani waumini wake, sasa awanywesha petroli

Mchungaji wa Afrika Kusini aliyewahi kuwalisha waumini wake majani, sasa anawanywesha petrol. Pastor Lesego Daniel wa Rabboni Centre Ministries aliwahi kuandikwa sana na vyombo vya habari duniani kwa kuwaagiza wafuasi wake kula majani kama wanyama kwa madai kuwa binadamu wanaweza kula chochote kilichotoka kwa Mungu. Kitendo hicho kiliwaacha waumini wengi wakitapika na kuharisha. Na sasa […]

 

11 years ago

Habarileo

Sekondari 1,200 zaingizwa `Matokeo Makubwa Sasa’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaSHULE 1, 200 za sekondari zilizojengwa na wananchi kwa kushirikiana na Serikali zimeingizwa kwenye utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa ajili ya uboreshaji wa mazingira ya kufundishia na kujifunzia, imefahamika.

 

10 years ago

TheCitizen

Sh2.4bn for students

More than 800 students pursuing a certificate course in Nursing, Pharmacy, Clinical Officer and Laboratory Technician are to benefit from a Sh2.4 billion support from the Benjamin Mkapa HIV/Aids Foundation (BMAF) between 2014 and 2016.

 

10 years ago

Vijimambo

Petroli haishikiki.

Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi.
Kuendelea kuporomoka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani kumeendelea kuongeza makali ya maisha baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kulazimika kuongeza bei elekezi ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kuanzia leo licha ya bidhaa hiyo kushuka bei katika soko la dunia.

Taarifa iliyotolewa na EWURA jijini Dar es Salaam jana ilitaja bei mpya elekezi ya rejareja itakayotumika kuanzia leo Julai 1, 2015 kuwa ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Ikungi wakusanya Sh2.9 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida imekusanya Sh2.9 bilioni kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, kati ya Julai na Septemba 30 mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa petroli wapita

Spika wa Bunge, Anna Makinda.WABUNGE jana walipitisha Muswada wa Sheria ya Petroli wa Mwaka 2015, ambao ni miongoni mwa miswaada ya sekta ya mafuta na gesi iliyokuwa ikipigiwa kelele na wabunge wa upinzani.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepata nguvu kwani linatarajia kupokea kitita cha Dola1. 3 milioni (Sh2.2 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) pamoja na fedha za kuiandaa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa ajili ya Kombe la Dunia 2018.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Fraudulent Foreigners Cause Sh2.1 Billion Loss


Fraudulent Foreigners Cause Sh2.1 Billion Loss
AllAfrica.com
THE prosecution has completed the investigations into trial of two Romanians, Razvan Pintilie (47) and Robert Kraus (27), who are charged with fraudulent use of communications and occasioning a loss of 2.1bn/- to the government and Tanzania ...

 

9 years ago

TheCitizen

Govt confiscates Sh2.5bn gemstones

The investigation against an India national (name withheld), who was arrested attempting to smuggle tanzanite gemstones worth Sh2.5 billion through the Kilimanjaro International Airport (KIA) has taken a new twist after he accused a famous firm of selling him the precious stones.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani