Picha binafsi na madhara yake
Wafanyakazi wa kitengo cha zimamoto nchini Urusi,Ilya Bykov na Rostislav Krylov waliamua kuselfika mbele ya jengo linaloteketea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Maambukizi ya chlamydia na madhara yake
Magonjwa ya zinaa yapo. mengi yanaambukizwa kwa urahisi kabisa kwa kufanya tendo la ngono.
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
Tamu, lakini unajua Madhara yake?
Wanaharakati wameanza juhudi za kutaka sekta ya chakula na viywaji kupunguza kiwango cha sukari katika bidhaa zao.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxcFK2s6UKsMQIymogJP-WnFTdWuQV8I1cPJiGLhdB5SPvjnVlTLQjVKvshzPMW4a5ltWpa296cNKTBMye7yMgLr/stiffnessofthelegs.jpg)
UPUNGUFU WA MADINI YA MANGANIZI (MAGNESIUM) NA MADHARA YAKE
Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa karibu asilimia 80 ya watu duniani wanakabiliwa na upungufu wa madini aina ya manganizi (Magnesium) na ni chanzo cha matatizo mengi ya kiafya mwilini. Upungufu wa madini haya una athari nyingi mwilini ikiwemo kudhoofisha kinga ya mwili, mfumo wa usagaji chakula, shinikizo la damu, viungo vya mwili na mambo mengine. Kuna mambo mengi yanachangia tatizo hili la upungufu wa madini haya, miongoni mwa...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya
Leo tutaona njia maarufu ambazo zipo katika matangazo mbalimbali ikiwamo magazeti, mabango ya matabibu wa kienyeji, mitandaoni pamoja na zile zilizoshindwa kukidhi vigezo vya kutumika na kuingizwa katika miongozo ya matibabu ya Shirika la Afya Duniani (WHO).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVt*M3ju9C8eazW9mZW3xvaZFcv1K7*BDoZufGsAvqEpnA1BeFyYpBotfYV8TPm4u8boVJfXQ*HyfIMMks9EL96/B11.jpg?width=650)
KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE
Mwandishi Eric Shigongo WIKI ijayo siku kama ya leo Jumanne, Bunge Maalum la Katiba linatarajiwa kuketi mjini Dodoma kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba kukiwa na wasiwasi kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hawataingia kikaoni. Ninachosema ni kwamba Ukawa kukataa kurejea katika vikao vya Bunge hilo kwa kushikilia msimamo wa kutaka ijadiliwe Rasimu ya Katiba ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Sinde...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia
Ajali za barabarani zimekuwa ni janga kubwa kwa taifa letu. Ajali hizi kwa muda wa hivi karibuni zimeongezeka sana na kusababisha watu kufariki dunia, kupotelewa mali, kupata majeraha, kupata ulemavu wa kudumu na watu wengi wamejikuta maskini kwa sababu ya ajali za barabarani. Wengine wanafia njiani wakihangaika kupata haki zao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1f6lkCRdj30/XlFhvTULO6I/AAAAAAAAQP4/UGE-Q8vghZEASKaRWNQg2Lzu5pDan-fvwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_142032.jpg)
TAEC:MIONZI INA FAIDA KUBWA NA SIYO MADHARA PEKE YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1f6lkCRdj30/XlFhvTULO6I/AAAAAAAAQP4/UGE-Q8vghZEASKaRWNQg2Lzu5pDan-fvwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_142032.jpg)
Profesa Lazaro Busagala,Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu ya nchini (TAEC) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano kutoka Serengeti Breweries mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Mike Tyson hapendi picha binafsi
Je wewe ni shabiki wa Mike Tyson? ungependa kupata 'selfie' pamoja naye? jipange, Tyson mambo ya picha binafsi hayafagilii.
10 years ago
Bongo524 Sep
Picha: Amber Rose ashare picha yake ya utupu Instagram (18+)
Wakati mastaa wengine wanahaha baada ya picha zao za utupu kuvujishwa mtandao bila ridhaa zao, stripper wa zamani na mke wa rapper Wiz Khalifa, Amber Rose ameamua kutowasubiri hackers wafanye mambo, kwa kuamua kuvujisha mwenyewe picha yake ya utupu kupitia akaunti yake ya Instagram. Amber ambaye ni mama wa mtoto mmoja alishare picha hiyo na […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania