UPUNGUFU WA MADINI YA MANGANIZI (MAGNESIUM) NA MADHARA YAKE
Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa karibu asilimia 80 ya watu duniani wanakabiliwa na upungufu wa madini aina ya manganizi (Magnesium) na ni chanzo cha matatizo mengi ya kiafya mwilini. Upungufu wa madini haya una athari nyingi mwilini ikiwemo kudhoofisha kinga ya mwili, mfumo wa usagaji chakula, shinikizo la damu, viungo vya mwili na mambo mengine. Kuna mambo mengi yanachangia tatizo hili la upungufu wa madini haya, miongoni mwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Maambukizi ya chlamydia na madhara yake
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Picha binafsi na madhara yake
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
Tamu, lakini unajua Madhara yake?
9 years ago
Mwananchi14 Aug
PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya
11 years ago
GPLKUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia
5 years ago
MichuziTAEC:MIONZI INA FAIDA KUBWA NA SIYO MADHARA PEKE YAKE
Profesa Lazaro Busagala,Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu ya nchini (TAEC) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano kutoka Serengeti Breweries mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini...
10 years ago
VijimamboSHIRIKA LA MADINI LA TAIFA (STAMICO), LAELEZEA MAFANIKIO YA MIRADI YAKE MBALIMBALI
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Zena Kongoi (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kwenye maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuhusu mafanikio yaliyofikiwa na shirika hilo katika miradi mbalimbali....
5 years ago
Michuzi24 Jun
Serikali yamlipa mchimbaji mdogo zaidi ya Bilioni 7.74 kwa madini yake ya Tanzanite
Mchimbaji mdogo wa madini, Saniniu Kurian Laizer, akimkabidhi waziri wa madini Dotto Biteko mawe ya Tanzanite yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 7.74 katika hafla fupi iliyofanyika Mirerani.Pichani kati ni Naibu Waziri wa Madini Mhe.Stansalus Nyongo
Katibu Mkuu wizara ya Madini Prof Simon Msanjila akizungumza wakati wa hafla ya kupokea madini kutoka kwa mchimbaji mdogo wa Mirerani.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira (wa Pili Kushoto), Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania...